Viongozi wa dini wajitosa mgogoro wa wafanyabiashara, TRA
>Kamati ya Maadili ya Amani na Haki za Binadamu ya madhehebu ya dini nchini imemtaka Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuzungumza na wafanyabiashara na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ili kutatua mgogoro uliopo baina yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HEPVcnzulcI/VNvb2yVYhjI/AAAAAAAAtBU/xkOJLeuNt_Q/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3rM2qRwREE/VNvb5hOgu9I/AAAAAAAAtBo/ZbdPc1IQEHo/s640/kubwa.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QGAL97PIhPA/VLpX0nISEgI/AAAAAAAG9-w/giB02-NwJuY/s72-c/DSC_0801.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAKEMEA MAOVU YANAYOFANYWA KWA MGONGO WA DINI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Dar
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
Viongozi wa dini za kiislaam na kikristo wamesema dini ni za unyenyekevu na sio za kufanya maovu,ikitokea mtu mmoja katika imani anafanya maovu ni lazima akemewe ndani ya imani yake kwanza.
Wameyasema hayo leo katika kongamano la kujadili madhara ya misimamo mikali ya imani za kidini (Tafkiri) katika jamii na taifa lililofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Lamada jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati wa kufungua kongamano hilo Katibu wa Taasisi za...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
10 years ago
GPLWAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe ambaye alikuwa mgeni rasmi akiongea katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka ililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Jumapili 5, 2015. Pembeni ni Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama. Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa...
10 years ago
Dewji Blog08 Apr
Membe atoa rai kwa viongozi wa dini zote pamoja serikali kuhimiza vijana waipende dini ili kudumisha amani, utulivu na uadilifu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s72-c/11.jpg)
WAZIRI MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE NA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI KUDUMISHA AMANI,UTULIVU NA UADILIFU NCHINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-jFRe4B6dsOI/VSJKK5euttI/AAAAAAAC20M/odrRLRYJQCs/s1600/11.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqvScX6t4i4/VSJLh_gkyuI/AAAAAAAC27I/QXXUNvOPhYE/s1600/6.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI MHE. BERNARD MEMBE ATOA RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE PAMOJA SERIKALI KUHIMIZA VIJANA WAIPENDE DINI ILI KUDUMISHA AMANI, UTULIVU NA UADILIFU
Mkurugenzi wa Msama Promotion, Alex Msama akiwapungia watu waliohudhuria katika Tamasha la kumi na tano la Pasaka, lililofanyika katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Balozi: Mgogoro wa Palestina na Israel si wa dini
Balozi wa Palestina nchini, Dk Nasri Abujaish amesema mgogoro unaoendelea kati ya taifa lake na Israel hauna uhusiano wowote na dini kama inavyoenezwa.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Mgogoro wa wafanyabiashara usiingizwe siasa
Tumeendelea kushuhudia vitimbi na migomo inayofanywa na wafanyabiashara jijini Dar es Salaam na katika mikoa mbalimbali nchini. Lengo la wafanyabiashara hao ni kugomea matumizi ya mashine za kielektroniki za kutolea risiti (EFD) zinazotumiwa kutambua kiasi cha kodi kinachopaswa kutozwa kwa kila mfanyabiashara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania