Ukatili dhidi ya wenye Albinism, viongozi wa dini walaani.
Na Wilson Elisha,
Mwanza.
Viongozi wa kamati ya amani ya dini ya Mkoa wa Mwanza wamesema vitendo cha ukatili vinavyoendelea nchini dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi Albino vya kuwaua kwa kuwakata mapanga kuwa ni laana kwa wanaofanya hivyo na havikubaliki katika jamii.
Kutokana na hali hiyo viongozi hao wameiomba Serikali kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha wale wote wanaohusika wanachukuliwa hatua za kisheria ili haki iweze kutendeka wakati huu ambao wameandaa kongamano la wazi la...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWALEMAVU WA NGOZI WALAANI UKATILI DHIDI YAO
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Unyanyapaa, Ukatili na Mauaji dhidi ya Albinism..Imetosha!
Balozi wa kujitolea wa kampeni ya mapambano dhidi ya mauaji ya albino, Henry Mdimu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari (hawapo pichani) wengine ni wajumbe wa kamati hiyo. Kushoto ni Monica Joseph na Kulia ni Masoud Kipanya.
Baadhi ya wa Wajumbe wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano wao na waandishi wa habari.
..Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo hivi viovu
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo viovu wanavyofanyiwa ...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Viongozi wa dini walaani mauaji ya bomu Z’bar
10 years ago
Dewji Blog19 Mar
Mbunge Shaimar asema jamii ikielimika vitendo vibaya dhidi ya watu wenye albinism vitapungua
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MBUNGE wa Viti Maalum ambaye pia ni mlemavu wa ngozi (albino), Al -Shaimaa Kweigyir, amekemea vikali...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HEPVcnzulcI/VNvb2yVYhjI/AAAAAAAAtBU/xkOJLeuNt_Q/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3rM2qRwREE/VNvb5hOgu9I/AAAAAAAAtBo/ZbdPc1IQEHo/s640/kubwa.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s72-c/8.jpg)
Rais Magufuli awashukuru Viongozi wa Dini na Watanzania wote kwa kuomba dhidi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-KjSDqWp6vLo/Xtyb9ntNihI/AAAAAAALs4s/mc-_wjSDJ1s0QYW0HbTxi57ehiwm932KwCLcBGAsYHQ/s640/8.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VNMpxXKGWKc/XlPaFTgvXII/AAAAAAALfG0/5JhQM0jzSN8Sd92NxuCrWc4JyDDjiTCiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.44.23%2BPM.jpeg)
SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...
10 years ago
Habarileo23 Mar
Wasabato walaani ukatili kwa albino
KANISA la Waadventista Wasabato Nyanda za Juu Kusini, limelaani visa vya kikatili wanavyotendewa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), ikiwemo kukatwa viungo vyao na kuuawa, likisema watu wanaowatendea uovu huo wamelaaniwa na Mungu.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Wanaharakati walaani mtoto kufanyiwa ukatili
TAASISI zinazojihusisha na utetezi wa haki za binadamu, wanawake na watoto, zimelaani kitendo cha walezi wa mtoto Nasra Rashid (4) kumficha katika boksi tangu akiwa na miezi tisa hadi sasa...