SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VNMpxXKGWKc/XlPaFTgvXII/AAAAAAALfG0/5JhQM0jzSN8Sd92NxuCrWc4JyDDjiTCiACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-24%2Bat%2B4.44.23%2BPM.jpeg)
Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamiSPIKA wa Bunge Job Ndugai ameziomba taasisi za dini pamoja na viongozi wakuu wa dini zote kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI huku akitoa rai ya kuondoa unyanyapaa kwa wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s72-c/663.jpg)
Balozi Seif Ali Iddi awaomba Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu mapambano dhidi ya Virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-X4ovIDcNZyc/XqvHwaaQsxI/AAAAAAALou8/y42n7Uqd5D4akMGYp72UsTXzI7vg1tpcgCLcBGAsYHQ/s640/663.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1lfwQBFlQPA/XqvHwQ7EDjI/AAAAAAALou4/CwIBf5JoR1grtJGU4DgldwzJvlJN2JhXgCLcBGAsYHQ/s640/669.jpg)
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Ukweli kuhusu kemikali za kuua vijidudu na mapambano dhidi ya virusi vya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
SAKATA LA KUSHAMBULIWA MBOWE, SPIKA NDUGAI ATOA MAELEKEZO KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LF_0wL06O3g/Xt-zXbTRyrI/AAAAAAALtOQ/wQsgNlZyHKoBTYd_mnZsTlzKMuYHzUOmACLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
*Mbunge Chadema adai Mbowe alienda kulewa, akavunjika
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameviomba vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo Jeshi la Polisi kutoa taarifa kuhusu tukio la kushambuliwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.
Mbowe inadaiwa kuwa amevamiwa akiwa nyumbani kwake na kisha kushambuliwa na watu wasiojulikana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s72-c/RG1A1518.jpg)
WAZIRI MKUU ATOA NENO KWA VIONGOZI VYA VYAMA VYA SIASA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ml0Wpxba5Kc/XoS0jOJrPkI/AAAAAAALlzs/9ye1ZJ2G4nszgXpPn6ImTmiGNgfeS8JQACLcBGAsYHQ/s400/RG1A1518.jpg)
“Hivyo basi, tudumishe utulivu, amani, mshikamano pamoja na ustaarabu wetu wa Kitanzania katika kipindi chote cha kampeni na Uchaguzi Mkuu ili kulifanya Taifa letu kuendelea kuwa kisiwa cha amani na mfano wa kuigwa barani Afrika na duniani kwa ujumla.”
Waziri Mkuu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI WA DINI WAJITOSA MAPAMBANO DHIDI YA UJANGILI
![](http://3.bp.blogspot.com/-yVC6Ofk8uzQ/VNvb2UvgoSI/AAAAAAAAtBQ/JQ2OM5RJTZQ/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HEPVcnzulcI/VNvb2yVYhjI/AAAAAAAAtBU/xkOJLeuNt_Q/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-B3rM2qRwREE/VNvb5hOgu9I/AAAAAAAAtBo/ZbdPc1IQEHo/s640/kubwa.jpg)
11 years ago
Michuzi04 May
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
10 years ago
Vijimambo03 Nov
WAZIRI NYALANDU ATOA WITO KWA VIONGOZI WA DINI KUHUSU KUKEMEA UJANGILI NCHINI.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/nyalandu-jan23-2014.jpg)
Na Anitha Jonas – Maelezo.03 Novemba, 2014.WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu ametoa wito kwa Viongozi wa dini wote nchini kupaza sauti kwa pamoja kukemea vitendo vya Ujangili pamoja na Uharibifu wa mazingira nchini.
Wito huo ameutoa leo jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua mkutano wa viongozi wa dini unaolenga kuwaelimisha viongozi hao kutoa elimu kwa waumini wao juu ya kupinga suala la ujangili na kuwasihi juu ya...
5 years ago
MichuziSINGIDA YAWA MWENYEJI KITAIFA UZINDUZI RASMI WA PROGRAMU YA MAPAMBANO DHIDI YA KUENEA KWA VIRUSI VYA CORONA