Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria
>Kama ulidhani simba ni hatari, nyoka na wanyama wengine wakali wa mwituni basi umekosea kwani mdudu mdogo ambaye unaweza kumuua kwa vidole vyako aweza akawa hatari wanyama mwitu waogopwao kama vile simba, chui, nyati na nyoka. Mdudu huyo si mwingine bali ni mbu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jun
SUA ya kwanza duniani kugundua chanjo ya kuku
WAFUGAJI wa kuku nchini wataanza kupata neema ya kupata dawa ya mifugo yao kwa bei rahisi, baada ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kugundua chanjo ya kwanza ya kuku duniani dhidi ya ugonjwa wa ndui.
10 years ago
BBCSwahili24 Jul
Chanjo ya Malaria yatia matumaini
10 years ago
BBCSwahili24 Apr
Chanjo ya Malaria,nafuu kwa Watoto
10 years ago
BBCSwahili08 May
Chanjo ya Malaria yaonesha mafanikio Kenya
11 years ago
Dewji Blog24 Jul
GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S
GSK leo Julai 24-2014 imetangaza imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya Ulaya ya Madawa Agency (EMA).
Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa viwandani vya nchi za Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje ya EU....
11 years ago
Mwananchi31 May
Chanjo mpya ya Malaria kuleta tumaini kwa asilimia 100
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Watoto zaidi ya 66,442 mkoani Singida kupatiwa chanjo mpya ya Malaria na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi, akizindua zoezi la chanjo mpya ya Malaria na Rubella kwa manispaa ya Singida.Uzinduzi huo umefanyika kwenye kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida. Pamoja na chanjo ya Malaria na Rubella, pia dawa za minyoo na mabusha zilitolewa.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, inatarajia kuchanja watoto 66,422, chanjo mpya ya Malaria na Rubella wakati wa kampeni ya kitaifa inayoanza jana Oktoba 18 hadi 24 mwaka huu.
Hayo yamesemwa...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Utafiti chanjo ya ugonjwa wa dengue waonyesha matumaini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y6hyo7XZ0eF-suJwVBPgW6II4J3Uk61K3GC2EN0P2pgQcpA3FZwHgfOapZWrAnh4g2dgervoocnERvz43FOdV2I-YkRcljF4/MIMBA.jpg?width=650)
UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO