UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO
![](http://api.ning.com:80/files/Y6hyo7XZ0eF-suJwVBPgW6II4J3Uk61K3GC2EN0P2pgQcpA3FZwHgfOapZWrAnh4g2dgervoocnERvz43FOdV2I-YkRcljF4/MIMBA.jpg?width=650)
Malaria ni maambukizi ya seli nyekundu za damu inayosababishwa na vimelea vinavyoitwa kitaalamu, Plasmodiumu. Plasmodiumu hawa husambazwa na mbu  aina ya Anofelesi. Mbu hutoa parasiti za malaria na kukomaa katika seli nyekundu za damu na mamilioni ya parasiti hukusanyika katika plasenta ya mjamzito.Malaria ni hatari zaidi kwa wajawazito kuliko watu ambao hawana mimba. Dalili za malaria Mama mjamzito anakuwa na dalili...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
9 years ago
StarTV07 Oct
Ugonjwa wa Malaria wakutanisha wataalamu Afrika
Wataalamu wa Sekta ya Afya kutoka Afrika wamekutana jijini Dar es Salaam kujadiliana na kuangalia ni kwa namna gani wanaweza kupambana na magonjwa yanayoenezwa na Mbu hasa Malaria ambao umeonekana kuathiri zaidi nguvu kazi ya waafrika.
Mkutano huo ni wa pili tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Nchi hizo za Bara la Afrika ujulikanao kama PAMCA ukilenga pia kuongeza nguvu ya pamoja ya kukabiliana na magonjwa hayo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Dawa (NIMR), Dkt Mwele Malecela anasema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e3hpUJ0tiRk/Xs_QMnk2x3I/AAAAAAALr54/Dp7s1rTY93oa5upBQQt5Fi2FNClgLuUKQCLcBGAsYHQ/s72-c/b3db98b9-b5f7-4b97-8509-ef24b334cda6.jpg)
UGONJWA WA MALARIA WAZIDI KUPUNGUA NCHINI
Takwimu za kitaifa za viashiria vya malaria kwa mwaka 2017 (Malaria Indicator Survey) inaonesha kuwa upatikanaji wa vyandarua (access) kwa wananchi kitaifa ni asilimia 63 na matumizi ya vyandarua kwa wanajamii kitaifa ni asilimia 52.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe.Ummy Mwalimu wakati wa uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua kwa kila kaya uliofanyika wilayani Chunya.
Waziri Ummy amesema kuwa Mkoa wa Mbeya, upatikanaji wa...
11 years ago
Mwananchi30 May
Tanzania inavyopania kugundua chanjo dhidi ya ugonjwa wa malaria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55LAf-jbEVj6QaSvR5H*i-6bDErb80ymjzfC9WoKcuyFVwTK5coHJTrs39e1XkHBgKA3foUsOwHLkLc1ILk8dfK6/MJAMZITO.jpg?width=650)
MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fnlIVq7rrd2Y9M0cZr71TY53MAH4nC-g0gBV6A2PMS3pmEs-mNE*NGB9K5q0gWZrLFSin-8zXjYQ9PhtdfG0pK/sickle.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITO -2
10 years ago
Habarileo06 Jul
Aua mkewe mjamzito wa miezi 9 kwa wivu
MLINZI wa usiku katika Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Florence Kazonde (35) amejinyonga baada ya kumuua kikatili kwa kumkaba koo mkewe aliyekuwa na ujauzito wa miezi tisa, Emilia Mzui (30).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s72-c/IMG_2273.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s1600/IMG_2273.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mwumbui; apewa tuzo kwa kumsindikiza kliniki mjamzito