Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwumbui; apewa tuzo kwa kumsindikiza kliniki mjamzito

>Kwa desturi iliyojengeka nchini, wanaume wengi hawana utamaduni wa kuwasindikiza wake zao kwenda kliniki kupima ujauzito au kupeleka watoto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ukiwa mjamzito uanze lini kliniki? 

KAMA kawaida tuanze na kishtua mada ambapo washikaji wawili wanajadili jambo fulani na kutuachia ujumbe fulani. Mshikaji 1: Naona huyu rafiki yangu amechanganyikiwa. Mke wake ana ujauzito karibu atajifungua. Nimemkuta...

 

9 years ago

Mtanzania

TFF kumsindikiza Samatta tuzo za Afrika

tffNA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Selestine Mwesigwa, anatarajia kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Mbwana Samatta, kuelekea kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barani Afrika nchini Nigeria.

Samatta ambaye anakipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambao ni mabingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika, anawania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa wachezaji wa ndani.

Taarifa...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA MAJESHI MSTAAFU JENERALI MRISHO SARAKIKYA APEWA TUZO YA HESHIMA NA TANAPA KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO MARA 38

Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu akimkabidhi tuzo maalum ya heshima Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Sarakikya akiwa na mkewe kwa kupanda mlima Kilimanjaro mara 38, Jenerali Sarakikya pia  amepewa Kadi maalum ya kuingia mbuga zozote za TANAPA Bure yeye pamoja na familia yake, lakini katika hatua nyingine  atalipiwa gharama zote za kushiriki mkutano wa masuala ya utalii kuhusu milima mirefu zaidi duniani  yeye pamoja na mke wake huko nchini Marekani, Katika mkutano huo...

 

9 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete Apewa Tuzo Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mheshimiwa Wilson Masilingi akimkabidhi Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani na nchi nyingine (East African Diaspora Business Council Award) leo, Jumatatu, Septemba 21, 2015 mjini Washington, D.C. Balozi Masilingi ndiye alimwakilisha Dkt. Kikwete katika sherehe ya kukabidhi tuzo hiyo usiku wa jana, Jumapili, Septemba 20 kwenye Hoteli ya Hyatt Regency, Dallas, Jimbo la Texas....

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE APEWA TUZO NA TASWA

Mwenyekiti wa TASWA Bwana Juma Pinto akimpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kuendeleza michezo nchini wakati wa hafla maalum ilioandaliwa na TASWA katika ukumbi wa Mlimani City jana  jijini Dar es Salaam.Picha na Freddy Maro)

 

11 years ago

Mwananchi

Mama Salma Kikwete apewa tuzo na Amref

Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete ametunukiwa tuzo ya Balozi wa Kampeni ya Simama kwa ajili ya Mwanamke wa Afrika “Stand for African Mother campaign” kutokana na kujitoa kwake kuwahamasisha wake wa marais wa Afrika kusimama na kupigania haki za mama na mtoto.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete apewa Tuzo ya Utawala Bora

>Rais Jakaya Kikwete ametunikiwa Tuzo ya Utawala Bora Afrika kwa mwaka 2015 kutokana na jitihada zake za kudumisha na kuimarisha utawala bora nchini.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMANI ANG'ARA KIMATAIFA, APEWA TUZO

Na Mwandishi Watu
WAZIRI wa Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi, Dk. Titus Kamani (Pichani), amepewa Tuzo ya Utawala Bora katika kipengele cha Watendakazi Bora Serikali barani Afrika kutokana na wizara yake kuonyesha utendaji kazi wa hali ya juu.
Tuzo hizo ziliandaliwa na Kampuni ya CEO Titans Building Nations ya Afrika Kusini, ambayo imejikita katika kutambua watu na viongozi wanaofanya kazi kwa ufanisi. Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika hivi karibuni katika Hoteli ya Hilton jijini...

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete apewa Tuzo Ya Uongozi Bora nchini

 Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akikmabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo maalum kwa kutambua mchango wange kwa taasisi simamizi katika kuimarisha Uwazi,Uadilifu na uwajibikaji wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni iliyofanyika katika ukumbi wa  wa kimataifa wa  mikutano Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam leo jioni.
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo niBodi ya Taifa ya wahasibu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani