MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA
![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55LAf-jbEVj6QaSvR5H*i-6bDErb80ymjzfC9WoKcuyFVwTK5coHJTrs39e1XkHBgKA3foUsOwHLkLc1ILk8dfK6/MJAMZITO.jpg?width=650)
Stori: ISSA MNALLY NA DUSTAN SHEKIDELE OPARESHENI ya Polisi wa Mkoa wa Morogoro na kikosi maalum cha kufichua Maovu cha Magazeti ya Global Publishers (OFM), imemnasa mwanamke mjamzito katika kamatakamata ya machangudoa. Katika oparesheni hiyo ya aina yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Msamvu (Kambi ya Itigi), wanawake 30 waliodaiwa kujihusisha na biashara hiyo walikamatwa. Waandishi wetu wakiwa na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg1Nd6FK8JzQAxWV4aVoogRqa-XsZ-KVkBspQ7wBy0Nf*W84qOwkJq0UW1cu9SfWX-PtHnV7l3cmlaZLCbNEbGlv/ofm.jpg?width=650)
MWANAUME TATA ANASWA KWA UKAHABA!
11 years ago
Habarileo12 Dec
Wasichana 6 kortini kwa ukahaba
WASICHANA sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kujibu mashitaka ya kufanya biashara haramu ya ukahaba.
11 years ago
Habarileo08 Mar
Polisi Dodoma yataja 15 walionaswa kwa 'ukahaba'
WANAWAKE 15 wametiwa mbaroni mkoani Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ukahaba. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime juzi watu hao wamekamatwa kufuatia msako uliofanywa mwanzoni mwa wiki.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Kwa nini malaria ni tishio kwa mama mjamzito?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y6hyo7XZ0eF-suJwVBPgW6II4J3Uk61K3GC2EN0P2pgQcpA3FZwHgfOapZWrAnh4g2dgervoocnERvz43FOdV2I-YkRcljF4/MIMBA.jpg?width=650)
UGONJWA WA MALARIA KWA MJAMZITO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39fnlIVq7rrd2Y9M0cZr71TY53MAH4nC-g0gBV6A2PMS3pmEs-mNE*NGB9K5q0gWZrLFSin-8zXjYQ9PhtdfG0pK/sickle.jpg?width=650)
UPUNGUFU WA DAMU KWA MJAMZITO -2
10 years ago
Habarileo06 Jul
Aua mkewe mjamzito wa miezi 9 kwa wivu
MLINZI wa usiku katika Ofisi za Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa, Florence Kazonde (35) amejinyonga baada ya kumuua kikatili kwa kumkaba koo mkewe aliyekuwa na ujauzito wa miezi tisa, Emilia Mzui (30).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s72-c/IMG_2273.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s1600/IMG_2273.jpg)