MWANAUME TATA ANASWA KWA UKAHABA!

Imeandikwa na Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro AMA kweli dunia imefika ukingoni! Ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, bado ipo kazini ikishirikiana na polisi ambapo safari hii imeibuka na kigongo cha aina yake baada ya kumnasa ‘mwanaume tata’ akijihusisha na ukahaba, Risasi Mchanganyiko lina mzigo kamili. Ikiwa kwenye fumuafumua ya magenge ya ngono maeneo ya Kahumba mjini Morogoro hivi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KUPA ANASWA NA MWANAUME TATA
11 years ago
GPL
MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA
11 years ago
GPL
MWANAUME TATA AMCHAFUA KOPA
11 years ago
GPL
KUMBE MZUNGU WA SHILOLE NI MWANAUME TATA!
11 years ago
Habarileo12 Dec
Wasichana 6 kortini kwa ukahaba
WASICHANA sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kujibu mashitaka ya kufanya biashara haramu ya ukahaba.
11 years ago
Habarileo08 Mar
Polisi Dodoma yataja 15 walionaswa kwa 'ukahaba'
WANAWAKE 15 wametiwa mbaroni mkoani Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ukahaba. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime juzi watu hao wamekamatwa kufuatia msako uliofanywa mwanzoni mwa wiki.
10 years ago
GPL
CAITLYN JENNER AJITAMBURISHA RASMI KWA WANAWAKE TATA WENZAKE