Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAUME TATA ANASWA KWA UKAHABA!

Imeandikwa na Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
AMA kweli dunia imefika ukingoni! Ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, bado ipo kazini ikishirikiana na polisi ambapo safari hii imeibuka na kigongo cha aina yake baada ya kumnasa ‘mwanaume tata’ akijihusisha na ukahaba, Risasi Mchanganyiko lina mzigo kamili. Ikiwa kwenye fumuafumua ya magenge ya ngono maeneo ya Kahumba mjini Morogoro hivi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUPA ANASWA NA MWANAUME TATA

Na Richard Bukos
Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa ‘Kupa’  juzikati aliwaacha watu midomo wazi baada ya kunaswa akiwa beneti na mwanaume tata maarufu mjini anayefahamika kwa jina la Danny.Wawili hao walibambwa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Escape One uliopo Mikocheni jijini Dar kulikokuwa na onesho la mwanamuziki Christian Bella. Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa...

 

11 years ago

GPL

MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA

Stori: ISSA MNALLY NA DUSTAN SHEKIDELE
OPARESHENI ya Polisi wa Mkoa wa Morogoro na kikosi maalum cha kufichua Maovu cha Magazeti ya Global Publishers (OFM), imemnasa mwanamke mjamzito katika kamatakamata ya machangudoa. Katika oparesheni hiyo ya aina yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Msamvu (Kambi ya Itigi), wanawake 30 waliodaiwa kujihusisha na biashara hiyo walikamatwa. Waandishi wetu wakiwa na...

 

11 years ago

GPL

MWANAUME TATA AMCHAFUA KOPA

Stori: Shakoor Jongo MAJANGA! Mwanaume anayedaiwa kuwa na swaga zisizoeleweka, anayejulikana kwa jina moja la Talick, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anadaiwa kumchafua Malkia wa Mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa kwa kudai kuwa ni mtoto wa kuzaliwa kabisa na muimbaji huyo. Mwanaume anayejulikana kwa jina moja la Talick, anayedai kuwa ni mtoto Khadija Kopa. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja...

 

11 years ago

GPL

KUMBE MZUNGU WA SHILOLE NI MWANAUME TATA!

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
Yeleuuuwi! Siku chache baada ya msanii wa sinema na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujinadi na mchumba wa Kizungu aliyejulikana kwa jina moja la Ankar, siri imefichuka kwamba jamaa huyo ni mwanaume tata. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda kutoka London, Uingereza, wikiendi iliyopita, chanzo hicho makini kilisema mwanaume ambaye hivi karibuni Shilole alijinadi kuwa ni bw...

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 6 kortini kwa ukahaba

WASICHANA sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kujibu mashitaka ya kufanya biashara haramu ya ukahaba.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi Dodoma yataja 15 walionaswa kwa 'ukahaba'

WANAWAKE 15 wametiwa mbaroni mkoani Dodoma kwa tuhuma za kujihusisha na biashara ya ukahaba. Taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime juzi watu hao wamekamatwa kufuatia msako uliofanywa mwanzoni mwa wiki.

 

10 years ago

GPL

CAITLYN JENNER AJITAMBURISHA RASMI KWA WANAWAKE TATA WENZAKE

Baba wa Kufikia wa Kim Kardashian Bruce Jenner,  Caitlyn Jenner. New York Marekani
Baba wa Kufikia wa Kim Kardashian Bruce Jenner,  ambaye kwa sasa amekuwa mwanamke akifahamika kwa jina la Caitlyn Jenner juzi kati alienda kukutana na wanawake tata wenzake ikiwa ni utamburisho rasmi toka aingie kwenye chama chao cha kutoka mwanaume na kuwa mwanamke. Utamburisho huo ulifanyika kwenye sherehe ya chakula cha usiku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani