Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAUME TATA AMCHAFUA KOPA

Stori: Shakoor Jongo MAJANGA! Mwanaume anayedaiwa kuwa na swaga zisizoeleweka, anayejulikana kwa jina moja la Talick, mkazi wa Kinondoni jijini Dar anadaiwa kumchafua Malkia wa Mipasho Bongo, Khadija Omar Kopa kwa kudai kuwa ni mtoto wa kuzaliwa kabisa na muimbaji huyo. Mwanaume anayejulikana kwa jina moja la Talick, anayedai kuwa ni mtoto Khadija Kopa. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KUPA ANASWA NA MWANAUME TATA

Na Richard Bukos
Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa ‘Kupa’  juzikati aliwaacha watu midomo wazi baada ya kunaswa akiwa beneti na mwanaume tata maarufu mjini anayefahamika kwa jina la Danny.Wawili hao walibambwa na paparazi wetu ndani ya Ukumbi wa Escape One uliopo Mikocheni jijini Dar kulikokuwa na onesho la mwanamuziki Christian Bella. Msanii wa filamu mwenye vituko kibao, Idrisa Makupa...

 

11 years ago

GPL

KUMBE MZUNGU WA SHILOLE NI MWANAUME TATA!

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
Yeleuuuwi! Siku chache baada ya msanii wa sinema na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ kujinadi na mchumba wa Kizungu aliyejulikana kwa jina moja la Ankar, siri imefichuka kwamba jamaa huyo ni mwanaume tata. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda kutoka London, Uingereza, wikiendi iliyopita, chanzo hicho makini kilisema mwanaume ambaye hivi karibuni Shilole alijinadi kuwa ni bw...

 

11 years ago

GPL

MWANAUME TATA ANASWA KWA UKAHABA!

Imeandikwa na Issa Mnally na Dustan Shekidele, Morogoro
AMA kweli dunia imefika ukingoni! Ile Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, bado ipo kazini ikishirikiana na polisi ambapo safari hii imeibuka na kigongo cha aina yake baada ya kumnasa ‘mwanaume tata’ akijihusisha na ukahaba, Risasi Mchanganyiko lina mzigo kamili. Ikiwa kwenye fumuafumua ya magenge ya ngono maeneo ya Kahumba mjini Morogoro hivi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinara usafirishaji wahamiaji haramu amchafua Mwema 

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, ameagiza kusakwa na hatimaye kutiwa mbaroni mfanyabiashara Emmanuel Kisima maarufu kwa jina la ‘Papaa’ kutokana na kutumia vibaya jina la mtangulizi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kwaheri Tata Mandela

Karibu watu 4,500 walifika kwenye mazishi hayo ikiwemo familia, jamaa, marafiki na viongozi wa dunia kijijini Qunu ambako Mandela alikulia.

 

10 years ago

GPL

KLABU YA WANAUME TATA

Baadhi ya wanaume hao tata. KLABU inayodaiwa kuwahifadhi wanaume tata imegundulika hivi karibuni maeneo ya Kinondoni jijini Dar karibu na Viwanja vya Leaders. Paparazi wetu aliibaini klabu hiyo baada ya kuwanasa wakifanya pati ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanaume hao aliyejitambulisha kwa jina moja la God ‘God Chocolate’. Mwanaume tata akiwa kwenye pozi. Mwanahabari wetu ambaye alichukua matukio tofauti ukumbini hapo,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Dunia yamuaga Tata Mandela

Viongozi, familia na marafiki wametoa heshima zao za mwisho kwa hayati Nelson Mandela katika mazishi yake ya kitaifa katika kijiji cha Qunu katika mkoa wa Cape Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali 10 tata kuhusu dengue

Tangu ugonjwa wa homa ya dengue uibuke mkoani Dar es Salaam na baadaye maeneo mengine ya nchi, wananchi wamekuwa wakijiuliza maswali mengi yenye utata ambayo sasa yamepata majibu ya wataalamu.

 

9 years ago

Raia Mwema

Uwaziri Mkuu ni cheo tata?

WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub

Joseph Magata

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani