KLABU YA WANAUME TATA
![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMuDHmENxJ7QljHvb4EubBrMcpfP3JFHZyvxEPr8bSCbQJ-9NS7wn7QWVnG-7VT1Oon-4AYqDK7v2Kf9mpj6bwPY/mashoga22.jpg?width=650)
Baadhi ya wanaume hao tata. KLABU inayodaiwa kuwahifadhi wanaume tata imegundulika hivi karibuni maeneo ya Kinondoni jijini Dar karibu na Viwanja vya Leaders. Paparazi wetu aliibaini klabu hiyo baada ya kuwanasa wakifanya pati ya kuzaliwa kwa mmoja wa wanaume hao aliyejitambulisha kwa jina moja la God ‘God Chocolate’. Mwanaume tata akiwa kwenye pozi. Mwanahabari wetu ambaye alichukua matukio tofauti ukumbini hapo,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kwaheri Tata Mandela
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Muswada tata wapendekezwa Kenya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aGsIBoQ0cKki5XiQA5Px6QSzrnyrnDNM*i3kBRGmsD40-v-4h4O*mYQHLuk3jS-q-mfTsuvVl2Er*72FL0l73h-5e3r6lr9J/kopa.jpg)
MWANAUME TATA AMCHAFUA KOPA
11 years ago
Mwananchi16 May
Maswali 10 tata kuhusu dengue
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulnS6SV5tE5JwdS3qWBRL2FENVzos*oy1zZRZI19OSh5oVhnNCo8K7N2T-UzboTE-B5DH1FFgz4vg7CVevcgPuza/Kupa.jpg?width=650)
KUPA ANASWA NA MWANAUME TATA
11 years ago
BBCSwahili15 Dec
Dunia yamuaga Tata Mandela
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Uwaziri Mkuu ni cheo tata?
WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub
Joseph Magata