Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwaziri Mkuu ni cheo tata?

WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub

Joseph Magata

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uwaziri mkuu ni moto

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema kuwa nafasi hiyo siyo ya kuing’ang’ania au kuililia kwa kuwa ni kama moto.

 

9 years ago

Raia Mwema

Waziri Mkuu ni cheo cha lawama

RAIS mteule wa Awamu ta Tano, Dk John Magufuli anatarajiwa kuapishwa, na kisha kuunda Baraza lake

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

Mwananchi

IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili

>Watu wengi wakipata fedha na madaraka hubadilika, baadhi huacha mila na desturi zao na kuiga asili nyingine. Lakini Edward Sokoine aliendelea kuwa Mmasai, mfugaji na mwanakijiji licha ya kuwa Waziri Mkuu. Mmoja wa watoto wake, Ibrahim Sokoine anasimulia alipozungumza na Mwandishi Wetu Peter Saramba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake

SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT. MAGUFULI AMPANDISHA CHEO MKUU WA JKT, MEJA JENERALI CHARLES MBUGE

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha cheo kipya, Meja Jenerali Charles Mbuge, baada ya kupandishwa cheo leo tarehe 3 Jun 2020 Makao Makuu ya JWTZ ya Muda yaliyopo Msalato Jijini Dodoma.Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance akimpongeza Meja Jenerali Charles Mbuge muda mfupi baada ya kumvalisha cheo kipya cha Meja Jenerali, leo tarehe 3 Jun...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uwaziri wawatesa Lembeli, Maige

SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli kutoa taarifa yake bungeni iliyowang’oa mawaziri wanne, vita kali imeibuka kati yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Bulaya: Nilikataa ahadi ya uwaziri

>Mbunge wa Viti Maalum alihama juzi CCM na kujiunga Chadema, Ester Bulaya amesema licha ya kuahidiwa vyeo vingi ukiwamo uwaziri na ukuu wa wilaya ili asihame CCM, aliamua kuviacha ili aweze kuwasaidia Watanzania wa chini ambao wameonewa na serikali ya chama hicho kwa miaka 50 iliyopita.

 

9 years ago

Mtanzania

Wanne wakataa uwaziri wa Magufuli

John+Magufuli+PHOTO*Wahofia kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu!

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, MTANZANIA imebaini.

Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu.

Wakizungumza na MTANZANIA wabunge hao ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini...

 

9 years ago

Raia Mwema

Mbunge alizwa Mil. 40/ - kusaka uwaziri

WAZIRI na Naibu Waziri wake katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wameshindwa kufanikiwa kwenye

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani