Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwaziri mkuu ni moto

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema kuwa nafasi hiyo siyo ya kuing’ang’ania au kuililia kwa kuwa ni kama moto.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Uwaziri wa Magufuli wa moto, wabunge wengi waugwaya!

Magufuli

Kuna sababu za kwanini hadi sasa Rais Dk John Magufuli hajatangaza baraza lake la mawaziri licha ya kuwepo ofisini kwa takriban mwezi sasa.

Magufuli

Taarifa zinadai kuwa uwaziri kwenye serikali yake ni mwendo ‘msobe msobe’ na si ule wa kula bata na safari kibao za nje kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ndio maana wabunge wengi wanaugwaya.

Infact ndugu yako akiteuliwa na Magufuli kuwa waziri mpe pole badala ya kumpongeza kuwa ameula! Ule usemi Hapa Kazi tu si wa mdomoni na kuvutia kura tu, ndani ya...

 

9 years ago

Raia Mwema

Uwaziri Mkuu ni cheo tata?

WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub

Joseph Magata

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake

SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...

 

11 years ago

Mwananchi

IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili

>Watu wengi wakipata fedha na madaraka hubadilika, baadhi huacha mila na desturi zao na kuiga asili nyingine. Lakini Edward Sokoine aliendelea kuwa Mmasai, mfugaji na mwanakijiji licha ya kuwa Waziri Mkuu. Mmoja wa watoto wake, Ibrahim Sokoine anasimulia alipozungumza na Mwandishi Wetu Peter Saramba.

 

9 years ago

Habarileo

Waziri Mkuu akoleza moto

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya watendaji wa halmashauri nchini, kwamba atakayebainika ametumia vibaya fedha za Serikali atang’olewa kazini kwa sababu Serikali ya Awamu ya Tano haina mchezo na mtu.

 

11 years ago

Michuzi

MOTO WATEKETEZA NYUMBA YA MKUU WA WILAYA KILWA

 Na Abdulaziz Video, Kilwa Moto umeteketeza nyumba anayoishi mkuu wa wilaya ya Kilwa, mkoani Lindi, Mhe. Abdallah Ulega na kusababisha hasara kubwa ambayo idadi yake haijaweza kufahamika mara moja.   Habari kutoka wilayani humo na kuthibitishwa na Katibu tawala wa mkoa wa Lindi  Bw. Abdala Chikota alisema kwamba moto huo umeteketeza vifaa mbalimbali  ndani ya nyumba ya kiongozi huyo.   Bw. Chikota alisema moto huo umesababisha hasara kubwa.   Alisema kufuatia tukio hilo ofisi ya mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

Maandalizi Mkutano Mkuu CUF yapamba moto

Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na baadhi ya viongozi wa CUF, alipofika Blue Pearl Hotel kwa ajili ya kukagua ukumbi kwa ajili ya mkutano mkuu wa CUF utakaoanza tarehe 23/06/2014. Huu ndio ukumbi wetu wa mikutano Mzee, Afisa wa Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza akimuonesha ukumbi huo Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad alipokwenda kuutembelea. Jengo la Hoteli ya Blue Pearl, Ubungo Plaza litakalotumika kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa CUF kuanzia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uwaziri wawatesa Lembeli, Maige

SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli kutoa taarifa yake bungeni iliyowang’oa mawaziri wanne, vita kali imeibuka kati yake...

 

9 years ago

Mtanzania

Wanne wakataa uwaziri wa Magufuli

John+Magufuli+PHOTO*Wahofia kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu!

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, MTANZANIA imebaini.

Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu.

Wakizungumza na MTANZANIA wabunge hao ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani