Uwaziri mkuu ni moto
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema kuwa nafasi hiyo siyo ya kuing’ang’ania au kuililia kwa kuwa ni kama moto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo503 Dec
Uwaziri wa Magufuli wa moto, wabunge wengi waugwaya!
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Kuna sababu za kwanini hadi sasa Rais Dk John Magufuli hajatangaza baraza lake la mawaziri licha ya kuwepo ofisini kwa takriban mwezi sasa.
Taarifa zinadai kuwa uwaziri kwenye serikali yake ni mwendo ‘msobe msobe’ na si ule wa kula bata na safari kibao za nje kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ndio maana wabunge wengi wanaugwaya.
Infact ndugu yako akiteuliwa na Magufuli kuwa waziri mpe pole badala ya kumpongeza kuwa ameula! Ule usemi Hapa Kazi tu si wa mdomoni na kuvutia kura tu, ndani ya...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Uwaziri Mkuu ni cheo tata?
WAKATI tukisubiria atangazwe waziri mkuu mpya ni vyema tukajikumbusha chimbuko la cheo hiki kikub
Joseph Magata
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake
SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
IBRAHIMU SOKOINE: Licha Uwaziri Mkuu, baba hakuacha asili
9 years ago
Habarileo21 Dec
Waziri Mkuu akoleza moto
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya watendaji wa halmashauri nchini, kwamba atakayebainika ametumia vibaya fedha za Serikali atang’olewa kazini kwa sababu Serikali ya Awamu ya Tano haina mchezo na mtu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2EYesjvKCr4/UychrQmb8wI/AAAAAAAFUMg/qc2rnp5h6TA/s72-c/35fc13c0378a964f04df0c0d4a09563a.jpg)
MOTO WATEKETEZA NYUMBA YA MKUU WA WILAYA KILWA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Maandalizi Mkutano Mkuu CUF yapamba moto
![](http://4.bp.blogspot.com/-cjwkdODyrG4/U5__zVUSzcI/AAAAAAAFrLk/LONCbO9tdws/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PMxowcxryHA/U5__ynaQQnI/AAAAAAAFrLc/g_sKjN5NIp8/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--jTel7SmhCs/U5__zY017EI/AAAAAAAFrLg/_2Rl4vI9zjs/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Uwaziri wawatesa Lembeli, Maige
SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli kutoa taarifa yake bungeni iliyowang’oa mawaziri wanne, vita kali imeibuka kati yake...
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Wanne wakataa uwaziri wa Magufuli
*Wahofia kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu!
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, MTANZANIA imebaini.
Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu.
Wakizungumza na MTANZANIA wabunge hao ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini...