Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uwaziri wa Magufuli wa moto, wabunge wengi waugwaya!

Magufuli

Kuna sababu za kwanini hadi sasa Rais Dk John Magufuli hajatangaza baraza lake la mawaziri licha ya kuwepo ofisini kwa takriban mwezi sasa.

Magufuli

Taarifa zinadai kuwa uwaziri kwenye serikali yake ni mwendo ‘msobe msobe’ na si ule wa kula bata na safari kibao za nje kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ndio maana wabunge wengi wanaugwaya.

Infact ndugu yako akiteuliwa na Magufuli kuwa waziri mpe pole badala ya kumpongeza kuwa ameula! Ule usemi Hapa Kazi tu si wa mdomoni na kuvutia kura tu, ndani ya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uwaziri mkuu ni moto

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema kuwa nafasi hiyo siyo ya kuing’ang’ania au kuililia kwa kuwa ni kama moto.

 

9 years ago

MillardAyo

Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI

MTANZANIA Wabunge wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, imebainika. Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu. Wabunge hao […]

The post Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

Wanne wakataa uwaziri wa Magufuli

John+Magufuli+PHOTO*Wahofia kwenda na kasi ya Hapa Kazi Tu!

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

WABUNGE wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, MTANZANIA imebaini.

Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu.

Wakizungumza na MTANZANIA wabunge hao ambao hawakupenda kutajwa majina yao gazetini...

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge:Dar hatarini kuteketea kwa moto

mngSHABANI MATUTU NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

KAMATI ya Nishati na Madini, imeonyesha hofu juu ya Jiji la Dar es Salaam kuteketea kwa moto, kutokana na uwezekano wa kulipuka kwa mabomba ya kusafirishia mafuta kunakochangiwa na wizi wa mafuta unaohusisha utoboaji wa mabomba hayo.
Kutokana na hali hiyo, wabunge wametaka vyombo vya ulinzi, hususan Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wapewe jukumu la kulinda miundombinu ya kusafirishia mafuta, huku baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

PAZI REUNION HOUSTON, TEXAS LEO KUWAKA MOTO WACHEZAJI WENGI NDANI YA NYUMBA

 Timu ya Pazi wanaume wakipata picha ya pamoja na mashabiki wao walipokua nyumbani kwa madikodiko ambaye pia ni mmoja wa waratimu wa tamasha hili la kumbukumbu ya timu hiyo iliyowika miaka mingi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla. Tamasha hili lililobeba jina la Pazi Reunion litafikia tamati leo Jumamosi March 14, 2015 kwa mechi kadhaa na kuakumbuka na kuaenzi viongozi na wachezaji wa timu hiyo waliotangulia mbele ya haki. Pazi Queens wakiwa katika picha ya pamoja leo...

 

9 years ago

Habarileo

Kasi ya Magufuli yavutia wengi

RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi anayoionesha, inayoelezwa kuwa inadhihirisha dhamira ya dhati na ya kizalendo aliyonayo ya kuwatumikia Watanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Kasi ya Magufuli inaweza kuwaacha wengi njiani

Wakati Jakaya Kikwete alipochaguliwa kuongoza Serikali ya Awamu ya Nne mwaka 2005, aliingia na kasi ya aina yake; kutembelea wizara za Serikali na kuzungumza na watendaji ili kujifunza namna wanavyofanya kazi.

 

9 years ago

Mwananchi

HONDOHONDO : Magufuli anajijenga yeye, ataumbua wengi

Sitaki umbea wala kuumbua watu. Miaka yote zikifanyika sherehe za Uhuru na nyinginezo, wasomi, wanasiasa na wananchi wa kawaida wamekuwa wakisifu maandalizi yake na kwamba zimefana. Hawakosoi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge wamkaanga Magufuli

Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli amekuwa hapati wakati mgumu anapowasilisha bajeti ya wizara hiyo, lakini hali ilikuwa tofauti jana wakati wabunge walipoungana kueleza hofu yao katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara kutokana na madeni ya makandarasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani