Kasi ya Magufuli yavutia wengi
RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi anayoionesha, inayoelezwa kuwa inadhihirisha dhamira ya dhati na ya kizalendo aliyonayo ya kuwatumikia Watanzania.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Nov
Kasi ya Magufuli inaweza kuwaacha wengi njiani
11 years ago
Habarileo09 Mar
Kliniki mpya ya kinamama Muhimbili yavutia wengi
WANAWAKE zaidi ya 200 wamejitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi pamoja na ile ya matiti katika ufunguzi rasmi wa kliniki ya uchunguzi wa afya kwa kinamama.
11 years ago
Michuzi04 Jul
Mfuko wa Pensheni wa PSPF yavutia wengi katika maonesho ya sabasaba
![mayingu2](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/fff3e-yGOWh94lD06dWlRTOZ-6_iFuvGD9CcERmzBRmnA2kWW33vfd-0uUqQ8kclYFRnwb-US0dmW4dZC_qk8nPxQK5ioQ_bYOV96JtKqBlsSFMm4MqG-0HiKEE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/mayingu2.jpg)
![New members](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Slvwbwcnld_4LMfWWR82PyDXxbOEmV3PvXas5LnJqtWx156JOW8PNbZRgsLaEZVFGBbK3c66_HcZy7P9bPo9zZtilHuCNHJBNQ2-j93pEzdd_dxeXKVJD0Yz5W2GLP4=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/New-members.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAVUTIA WATU WENGI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba, Ofisa wa benki hiyo, John Titus amesema kuwa banda lao linashughulika na kufungua akaunti na kumuhudumia mteja.
Aliongeza kuwa Benki ya CRDB pia imeweka Mobile Branch ambayo hufanya kazi zote zinazofanywa na benki hiyo ikiwemo huduma za kuweka fedha na kutoa.
Titus alisema pia...
11 years ago
MichuziNSSF YAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI TANGA
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini
HABARILEO Makatibu wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Akizungumza kabla ya kuanza kwa mada zilizoandaliwa katika semina hiyo jana, Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alisema semina hiyo ni ya […]
The post Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini appeared first on...
9 years ago
Habarileo28 Nov
Wazazi wapongeza kasi ya Magufuli
RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi wake sambamba na maelekezo kadhaa ambayo amekwisha yatoa katika muda mfupi aliokuwa madarakani. Pongezi hizo zilitolewa jana na Jumuiya ya Wazazi CCM ambao amepongeza hatua ambazo zimeanza kuchukuliwa na Rais Magufuli katika kipindi cha wiki tatu toka kuapishwa kwake ambapo jumuiya hiyo imesema ni imani yao kuwa nchi imepata kiongozi shupavu mwenye kusimamia kauli zake.
9 years ago
Habarileo23 Nov
Kasi ya Magufuli yaanza kuitikiwa
KASI ya Rais John Magufuli imeendelea kutikisa idara na taasisi mbalimbali za serikali kutokana na mchakamchaka miongoni mwa watendaji na wasimamizi wanaoendelea kuasa watumishi walio chini yao, kutii falsafa ya ‘Hapa Kazi Tu’ vinginevyo watajiondoa kwenye mfumo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10