Kliniki mpya ya kinamama Muhimbili yavutia wengi
WANAWAKE zaidi ya 200 wamejitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi pamoja na ile ya matiti katika ufunguzi rasmi wa kliniki ya uchunguzi wa afya kwa kinamama.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Nov
Kasi ya Magufuli yavutia wengi
RAIS John Magufuli amepongezwa kwa kasi ya utendaji kazi anayoionesha, inayoelezwa kuwa inadhihirisha dhamira ya dhati na ya kizalendo aliyonayo ya kuwatumikia Watanzania.
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAVUTIA WATU WENGI KATIKA MAONYESHO YA SABASABA
Akizungumza katika Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yanayofanyika katika viwanja vya Sabasaba, Ofisa wa benki hiyo, John Titus amesema kuwa banda lao linashughulika na kufungua akaunti na kumuhudumia mteja.
Aliongeza kuwa Benki ya CRDB pia imeweka Mobile Branch ambayo hufanya kazi zote zinazofanywa na benki hiyo ikiwemo huduma za kuweka fedha na kutoa.
Titus alisema pia...
11 years ago
Michuzi04 Jul
Mfuko wa Pensheni wa PSPF yavutia wengi katika maonesho ya sabasaba
![mayingu2](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/fff3e-yGOWh94lD06dWlRTOZ-6_iFuvGD9CcERmzBRmnA2kWW33vfd-0uUqQ8kclYFRnwb-US0dmW4dZC_qk8nPxQK5ioQ_bYOV96JtKqBlsSFMm4MqG-0HiKEE=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/mayingu2.jpg)
![New members](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/Slvwbwcnld_4LMfWWR82PyDXxbOEmV3PvXas5LnJqtWx156JOW8PNbZRgsLaEZVFGBbK3c66_HcZy7P9bPo9zZtilHuCNHJBNQ2-j93pEzdd_dxeXKVJD0Yz5W2GLP4=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/New-members.jpg)
11 years ago
MichuziNSSF YAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA JIJINI TANGA
10 years ago
GPLVIDEO YA MTOTO WA KIM NA KANYE, NORTH WEST AKIVUTWA PAMOJA NA SANDUKU LA NGUO YAVUTIA WENGI MTANDAONI
10 years ago
Habarileo12 Jun
Muhimbili yafungua kliniki kwa wagonjwa wa NHIF
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefungua kliniki kwa wagonjwa wanaotumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya AFya (NHIF) huku kliniki hiyo ikikabiliwa na matatizo ya mitambo ya Xray, CT scan na mashine za digitali za kupimia tumbo (floroskopian).
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP
Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Muhimbili yapata CT Scan mpya
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Katibu Mkuu mpya Afya aanza na Muhimbili
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10