Muhimbili yafungua kliniki kwa wagonjwa wa NHIF
HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) imefungua kliniki kwa wagonjwa wanaotumia Mfuko wa Taifa wa Bima ya AFya (NHIF) huku kliniki hiyo ikikabiliwa na matatizo ya mitambo ya Xray, CT scan na mashine za digitali za kupimia tumbo (floroskopian).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 Oct
Kliniki za kisukari kutoa huduma jumuishi kwa wagonjwa wa kisukari nchini India
from left to Right – Sangita Reddy, Chairperson, Apollo Sugar and Joint Managing Director, Apollo Hospitals, Christopher A. Viehbacher, Chief Executive Officer, Sanofi, Dr. Prathap Reddy, Chairman – Apollo Hospitals Group and Dr. Deepak Chopra, Renowned Global Spiritual Guru.
Hospitali maarufu za kimataifa za Apollo ambazo zimeazimia kufungua hospitali na kliniki mbali mbali nchini, hivi karibuni zimetangaza uamuazi wake wa kushirikiana na Sanofi katika upanuzi wa Kliniki za Kisukari za...
10 years ago
VijimamboBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WA MUHIMBILI
10 years ago
MichuziBENKI YA NBC YATOA MISAADA KWA WAGONJWA WALIOLAZWA MUHIMBILI
11 years ago
Habarileo09 Mar
Kliniki mpya ya kinamama Muhimbili yavutia wengi
WANAWAKE zaidi ya 200 wamejitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi pamoja na ile ya matiti katika ufunguzi rasmi wa kliniki ya uchunguzi wa afya kwa kinamama.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s72-c/huduma-1-768x693.jpg)
WAGONJWA WENYE MATATIZO YA MOYO WASHAURIWA KUHUDHURIA KLINIKI BILA KUKOSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-sC7zRVnXXK4/Xr5udiEWwpI/AAAAAAALqUU/S5Fi5Kp3r5kSL9fXOl1tr4xYoHbw8NH9wCLcBGAsYHQ/s1600/huduma-1-768x693.jpg)
Wataalamu wa usingizi na wagonjwa walioko katika chumba cha Uangalizi maalum (ICU) wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimlaza mgonjwa kabla ya kuzibuliwa mshipa mkubwa wa damu ya moyo ambao haukuwa unapitisha damu vizuri. Upasuaji huo wa bila kufungua kifua unafanyika kwa kutumia mtambo wa Cathlab (Catheterization Laboratory) ambapo mgonjwa anatobolewa tundu dogo katika mshipa wa damu ulioko kwenye paja.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-2-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/huduma-3-1024x683.jpg)
Wataalamu wabobezi wa moyo na wazibuaji wa mishipa ya damu ya moyo wa...
10 years ago
TheCitizen12 Jun
NHIF opens clinic at Muhimbili
10 years ago
Habarileo18 Sep
Wataka NHIF igharamie nauli za wagonjwa
BAADHI ya wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wametaka kuongezwa kwa huduma za malipo ya nauli na posho kwa wanachama wanaokwenda kwenye matibabu ya rufaa nje ya vituo vyao, sambamba na kugharamia upimaji wa vinasaba (DNA).
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan
Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...
10 years ago
Habarileo16 May
Wagonjwa zaidi wa moyo ‘wapasuliwa’ Muhimbili
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imewafanyia tiba ya moyo wagonjwa 66 katika kipindi cha siku saba bila kufungua kifua na pia kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo kwa kuweka kifaa maalumu.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10