Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wagonjwa zaidi wa moyo ‘wapasuliwa’ Muhimbili

 HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH), imewafanyia tiba ya moyo wagonjwa 66 katika kipindi cha siku saba bila kufungua kifua na pia kuzibua mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye moyo kwa kuweka kifaa maalumu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

5 years ago

Michuzi

TAHADHARI KUHUSU WAGONJWA WANAOCHANGISHA FEDHA ZA MATIBABU YA MOYO KWA AJILI YA KUTIBIWA KATIKA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI)



Uongozi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) unapenda  kuutahadharisha  Umma kuwa waangalifu na wagonjwa wanaochangisha fedha kwa ajili ya  kutibiwa katika Taasisi hii. Ndugu Mwananchi, inawezekana wagonjwa hao wanaochangisha fedha za matibabu wanakuwa tayari wamepata  msamaha wa matibabu kutoka kwa Taasisi au wasamaria wema...

 

5 years ago

Michuzi

Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto 60 wachunguzwa moyo Muhimbili

JUMLA ya watoto 60 wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya moyo bure, Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na watakaobainika watapatiwa matibabu. Watoto hao ni wale ambao wazazi wao wanakipato...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagonjwa wa moyo warejea salama

WAGONJWA 17 wa moyo waliokwenda India kwa matibabu wamerejea wakiwa na afya njema baada ya kufanyiwa upasuaji. Wagonjwa hao waliwasili nchini mwishoni mwa wiki na kupokelewa na ndugu, jamaa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Muhimbili kuzibua mishipa ya moyo kwa dakika 45

>Huenda Watanzania wanaougua magonjwa ya moyo wakaepuka kusafiri nje ya nchi kwa ajili ya matibabu baada ya tiba ya kuzibua mishipa ya moyo iliyoziba kufanyika kwa mara ya kwanza nchini.

 

11 years ago

GPL

RAIS AZINDUA KITENGO CHA MOYO MUHIMBILI

Mwakilishi wa Rais wa China, Hon. Chen Changzhi akipeana mkono na mmoja wa madaktari wakuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo mara baada ya kuwasili kwenye uzinduzi huo.     Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na madaktari kabla ya uzinduzi.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Lishe asili ni dawa ya wagonjwa wa moyo

Lishe asili na chakula ambacho hakijapitia viwandani inaimarisha siha yawagonjwa waliopatwa na mshtuko wa moyo

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo

Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani