Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muhimbili yapata CT Scan mpya

Serikali imeanza kufunga mashine mpya ya vipimo ya CT Scan kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na tatizo la upungufu wa vifaa tiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YANUNUA MASHINE MPYA YA CT-SCAN KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI YENYE UWEZO WA HALI YA JUU

Na Magreth Kinabo –MAELEZO.
Serikali imenunua mashine  mpya ya CT-Scan yenye thamani ya  takriban dola  za Marekani milioni 1.7  yenye uwezo wa hali ya juu kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali  katika Hospitali  ya Taifa ya Muhimbili(MNH) iliyopo jijini Dar es Salaam.
 Ununuzi wa mashine hiyo, umefanyika kufuatia agizo la Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli aliyoifanya hivi karibuni ambapo aliutaka uongozi wa hospitali hiyo kuboresha...

 

9 years ago

Mtanzania

Philips kutengeza CT Scan Muhimbili

mri--1Na Veronica Romwald, Dar es Salaam

UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)  umesema wakati wowote   Kampuni ya Philips itazitengeza mashine za CT-Scan na MRI  ziweze kutoa huduma kwa wagonjwa.

Umeyasema hayo siku moja baada ya Rais Dk. John Magufuli kutembelea hospitali hiyo na kumng’oa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk. Hussein Kidanto

Kaimu Mkurugenzi mpya wa hospitali hiyo, Profesa Lawrence Mseru, pia amewahimiza wafanyakazi wa hospitali hiyo kuzingatia nidhamu ya kazi kila mmoja kulingana...

 

9 years ago

Mtanzania

CT Scan Muhimbili yagharimu Sh bil 3.5

ct scanNa Veronica Romwald,  Dar es salaam

SERIKALI imefunga mashine mpya ya CT Scan yenye gharama ya Dola za Marekani  milioni 1.7 ambazo ni  sawa na zaidi ya Sh bilioni 3.5 katika  Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).

Mashine hiyo,  yenye uwezo wa kupiga picha zaidi ya 128 kwa wakati mmoja, ikilinganishwa na iliyokuwapo awali ambayo ilikuwa inapiga picha sita kwa wakati mmoja.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini wake, Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...

 

9 years ago

Mtanzania

MRI, CT-Scan zaharibika tena Muhimbili

mri--1NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM

MASHINE ya MRI na CT-Scan zilizoko katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika tena, licha ya kufanyiwa matengenezo siku kadhaa zilizopita baada ya Rais Dk. John Magufuli kuamuru zitengenezwe haraka.

Hii ni mara ya tatu sasa tangu mashine hizo zilipoanza kuharibika mapema mwishoni mwa Agosti, mwaka huu.
R a i s Magufuli alitoa amri ya kutengenezwa kwa m a s h i n e hizo Novemba 9, mwaka huu alipofanya ziara ya
kushtukiza hospitalini hapo,...

 

10 years ago

Mtanzania

Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan

Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...

 

9 years ago

Habarileo

Muhimbili yanunua CT-Scan ya kisasa zaidi

SSERIKALI imenunua mashine mpya ya CT-Scan kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mashine hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 1.7 (takribani Sh bilioni 3.6) imeelezwa kwamba ni yenye uwezo wa hali ya juu.

 

9 years ago

TheCitizen

Lack of CT-scan threatens lives at Muhimbili

Surgeons at the Muhimbili Orthopedic Institute (MOI) are facing difficulty  deciding when to carry out brain surgery on patients who suffer head injuries and other brain disorders, due to the lack of a working CT-scan at the institute.

 

9 years ago

Michuzi

MAFUNDI WAZISHUGULIKIA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN MUHIMBILI.

MAFUNDI kutoka kampuni ya Philips wanaendelea na matengenezo ya mashine za MRI na CT-SCAN katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili zilizopata hitilafu za kiufundi hivi karibuni.
Akizungumza ofisini kwake leo hii Mkuu wa Idara ya Uhusiano Hospitali ya Taifa Muhimbili Bw. Aminiel Buberwa Aligaesha amesema mafundi wapo katika eneo la kazi wakitengeneza hizo mashine ili ziweze kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Tumepewa siku tatu kukamilisha ukarabati wa hizi mashine hivyo wananchi wawe na subira...

 

9 years ago

MillardAyo

Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..

Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]

The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani