Philips kutengeza CT Scan Muhimbili
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umesema wakati wowote Kampuni ya Philips itazitengeza mashine za CT-Scan na MRI ziweze kutoa huduma kwa wagonjwa.
Umeyasema hayo siku moja baada ya Rais Dk. John Magufuli kutembelea hospitali hiyo na kumng’oa Kaimu Mkurugenzi wake, Dk. Hussein Kidanto
Kaimu Mkurugenzi mpya wa hospitali hiyo, Profesa Lawrence Mseru, pia amewahimiza wafanyakazi wa hospitali hiyo kuzingatia nidhamu ya kazi kila mmoja kulingana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
CT Scan Muhimbili yagharimu Sh bil 3.5
Na Veronica Romwald, Dar es salaam
SERIKALI imefunga mashine mpya ya CT Scan yenye gharama ya Dola za Marekani milioni 1.7 ambazo ni sawa na zaidi ya Sh bilioni 3.5 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH).
Mashine hiyo, yenye uwezo wa kupiga picha zaidi ya 128 kwa wakati mmoja, ikilinganishwa na iliyokuwapo awali ambayo ilikuwa inapiga picha sita kwa wakati mmoja.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini wake, Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,...
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Muhimbili yapata CT Scan mpya
9 years ago
Habarileo05 Jan
Muhimbili yanunua CT-Scan ya kisasa zaidi
SSERIKALI imenunua mashine mpya ya CT-Scan kwa ajili ya kutoa huduma za uchunguzi wa magonjwa mbalimbali katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Mashine hiyo yenye thamani ya Dola za Marekani milioni 1.7 (takribani Sh bilioni 3.6) imeelezwa kwamba ni yenye uwezo wa hali ya juu.
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan
Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...
9 years ago
TheCitizen25 Nov
Lack of CT-scan threatens lives at Muhimbili
9 years ago
Mtanzania17 Dec
MRI, CT-Scan zaharibika tena Muhimbili
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MASHINE ya MRI na CT-Scan zilizoko katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika tena, licha ya kufanyiwa matengenezo siku kadhaa zilizopita baada ya Rais Dk. John Magufuli kuamuru zitengenezwe haraka.
Hii ni mara ya tatu sasa tangu mashine hizo zilipoanza kuharibika mapema mwishoni mwa Agosti, mwaka huu.
R a i s Magufuli alitoa amri ya kutengenezwa kwa m a s h i n e hizo Novemba 9, mwaka huu alipofanya ziara ya
kushtukiza hospitalini hapo,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s72-c/download.jpg)
MAFUNDI WAZISHUGULIKIA MASHINE ZA MRI NA CT-SCAN MUHIMBILI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOFjlsEtx4/VlROLk-mz_I/AAAAAAAIIL8/C2ifJ2zFA-g/s1600/download.jpg)
Akizungumza ofisini kwake leo hii Mkuu wa Idara ya Uhusiano Hospitali ya Taifa Muhimbili Bw. Aminiel Buberwa Aligaesha amesema mafundi wapo katika eneo la kazi wakitengeneza hizo mashine ili ziweze kurudi katika hali yake ya kawaida.
“Tumepewa siku tatu kukamilisha ukarabati wa hizi mashine hivyo wananchi wawe na subira...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan..
Agizo la Rais Magufuli la kupatikana kwa mashine mpya ya CT Scan katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili limeonekana kuzaa matunda baada ya Serikali kununua mashine mpya ambayo imegharimu dola za Kimarekani milioni 1.7. Kutokana na mashine ya awali kuharibika kila wakati Serikali imegharamia mashine mpya ambayo imeelezwa kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya kazi […]
The post Mengine kutoka Hospitali ya Muhimbili kuhusu mashine za CT Scan.. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Waziri aibukia Muhimbili , CT Scan na MRI bado tatizo