Katibu Mkuu mpya Afya aanza na Muhimbili
>Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Donan Mmbando ameutaka uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kupitia upya uamuzi wa kupandisha bei za baadhi ya huduma zao ili kuangalia namna ya kupunguza adha kwa wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gHUlFLsrLZM/XqLeYC8gX_I/AAAAAAALoDs/qqtLbbwmAgELdq_pyPtLdXoyDqcbCSx4QCLcBGAsYHQ/s72-c/14995f28-5721-4380-8d82-647820d58b15-768x512.jpg)
WAZIRI UMMY AMPOKEA KATIBU MKUU MPYA WA AFYA PROFESA MABELE MCHEMBE LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-gHUlFLsrLZM/XqLeYC8gX_I/AAAAAAALoDs/qqtLbbwmAgELdq_pyPtLdXoyDqcbCSx4QCLcBGAsYHQ/s640/14995f28-5721-4380-8d82-647820d58b15-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/aed6ca25-8e63-439c-a557-d8a570fd1c1f-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/45470cfc-09ac-4639-adde-0bc12a73eea3-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto-Idara Kuu Afya Prof. Mabele Mchembe awasili kwenye ofisi ndogo ya wizara iliyopo jijini Dar es Salaam na kupokelewa na Waziri wa wizara hiyo Mh.Ummy Mwalimu
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Naibu Katibu Mkuu mpya Mambo ya Ndani aanza kazi rasmi na kuwataka watumishi kutekeleza kauli mbiu ya “Hapa Kazi Tu”
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi aliyeteuliwa hivi karibuni, John Mngodo, akijitambulisha kwa Watumishi mara baada ya kuanza kazi rasmi katika Wizara hiyo. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Lilian Mapfa na kushoto ni Mwenyekiti wa TUGHE, Obedi Mbaga.
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano...
9 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU MPYA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AANZA KAZI RASMI NA KUWATAKA WATUMISHI KUTEKELEZA KAULI MBIU YA “HAPA KAZI TU”
Mkurugenzi wa Idara ya Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Marlin Komba akijitambulisha mbele ya Naibu Katibu Mkuu mpya, John Mngodo (hayupo pichani) wakati wa Mkutano kati...
9 years ago
Mwananchi05 Jan
Katibu mkuu aanza kazi kwa mgomo TRL
10 years ago
Dewji Blog11 Dec
Katibu Mkuu UVCCM aanza ziara ya siku 14 kanda ya ziwa
Katibu Mkuu wa jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Ndugu Sixtus Mapunda (pichani) anategemea kufanya ziara ya siku na nne (14) katika mikoa minne ya Kanda ya Ziwa, ambayo ni Tabora, Shinyanga, Geita na Kagera kuanzia kesho tarehe 12st Dec 2014.
Ziara hii ya kikazi ya Katibu Mkuu inalenga kukagua na kuhimiza ujenzi na uimara wa jumuia ya Vijana katika maeneo husika lakini pia kushiriki kampeni zinazoendelea za uchaguzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s72-c/1.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YAKE LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jo-oMK86zjY/VW_9RAjMLuI/AAAAAAAAc7k/0EWMeOtUHOk/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HlMJozsA_vA/VW_9TgdgsCI/AAAAAAAAc7s/Kx6TRvT3bXc/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w7x4ONy4scs/VW_9dFVlFvI/AAAAAAAAc70/q_9ACV8Dg4k/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BEnECaPbcwg/VW_9hc3QDoI/AAAAAAAAc78/_PZMcsNFHLg/s640/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NV9sUo2cYXk/VW_9iVAMoxI/AAAAAAAAc8E/1evqpM9CTc8/s640/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A0ptPvhdD-0/VW_9i-lPGnI/AAAAAAAAc8I/J0cFu6tRR9o/s640/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekqls9DvITE/VQ8SlZFmROI/AAAAAAAC2IE/6YU51e8qtXo/s72-c/8.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA MKOA WA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ekqls9DvITE/VQ8SlZFmROI/AAAAAAAC2IE/6YU51e8qtXo/s1600/8.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana amewasili katika jimbo la Siha, katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la kukagua kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ambayo katika jimbo la Siha imetekelezwa kwa asilimia kubwa ikisimamiwa na Mbunge wa jimbo hilo na Naibu Waziri wa...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-RG4Vhd_Z8W4/VIVsJOQXDAI/AAAAAAAG17M/d60WBBk--QM/s1600/IMG_7729.jpg?width=650)
DKT. SHEIN AWAAPISHA KAIMU JAJI MKUU NA NAIBU KATIBU MKUU AFYA ZANZIBAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s72-c/19.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AANZA ZIARA YA SIKU 16 YA UNGUJA NA PEMBA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-twvei9g3yVs/VLamYMckPFI/AAAAAAACxd8/sufuq2L27u4/s1600/19.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XJfWW3TvNgM/VLamZsxGvJI/AAAAAAACxeQ/6OaaCzN0LLE/s1600/22.jpg)