Wabunge wamkaanga Magufuli
Waziri wa Ujenzi, Dk John Pombe Magufuli amekuwa hapati wakati mgumu anapowasilisha bajeti ya wizara hiyo, lakini hali ilikuwa tofauti jana wakati wabunge walipoungana kueleza hofu yao katika utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara kutokana na madeni ya makandarasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
UVCCM Zanzibar wamkaanga Warioba
NAIBU Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar, Shaka Hamdu Shaka, alisema maoni ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Warioba hayakubaliki na kwamba yamekosa mashiko, uzalendo na nguvu ya kujenga...
11 years ago
Mwananchi30 May
Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto
11 years ago
Mwananchi19 May
Tabora ‘wamkaanga’ Kapuya, DC kwa Katibu Mkuu CCM
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Dk Magufuli kuteua wabunge punde
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wabunge walilia ahadi za Dk Magufuli
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Magufuli awashika pabaya wabunge
*Azuia safari zao nje ya nchi, watakiwa wawe na vibali
*Baadhi yao wajikuta wakikwama Uwanja wa Ndege VIP
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa watumishi wa Serikali bila kibali, safari hii kibao kimewagekia wabunge baada ya kuzuiwa kusafiri bila ruhusa maalumu, MTANZANIA imebaini.
Hali hiyo imeonekana kuwavuruga wabunge, kwani baadhi yao wamejikuta wakikwama katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada...
9 years ago
Habarileo21 Nov
Wabunge wasifu hotuba ya Magufuli
WABUNGE wamesifu hotuba ya ufunguzi wa Bunge la 11 iliyotolewa bungeni jana na Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Hotuba hiyo ni ufunguzi rasmi wa Bunge la 11, ambapo mkutano wa kwanza wa bunge hilo ulianza Jumanne wiki hii mjini hapa.
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Wabunge waitwa kwa Dk Magufuli
10 years ago
Habarileo15 May
Wabunge Dar wajipanga kumkwamisha Magufuli
MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), amesema wabunge wa Dar es Salaam wanasubiri makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili waikwamishe, kutokana na kutotimiza ahadi ilizotoa kwa mkoa huo.