Magufuli awashika pabaya wabunge
*Azuia safari zao nje ya nchi, watakiwa wawe na vibali
*Baadhi yao wajikuta wakikwama Uwanja wa Ndege VIP
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa watumishi wa Serikali bila kibali, safari hii kibao kimewagekia wabunge baada ya kuzuiwa kusafiri bila ruhusa maalumu, MTANZANIA imebaini.
Hali hiyo imeonekana kuwavuruga wabunge, kwani baadhi yao wamejikuta wakikwama katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania28 May
Ukawa wamshika pabaya Magufuli
Arodia Peter na Khamis Mkotya, Dodoma
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ‘umemshika pabaya’ Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli kutokana na ukubwa wa deni linalodaiwa na wakandarasi.
Deni hilo limesababisha wabunge kutaka ufafanuzi wa kina kuhusu deni ambalo linazidi bajeti ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2015/2016.
Akiwasilisha Maoni ya Kambi ya Upinzani bungeni jana, Msemaji wa Upinzani katika wizara hiyo, Felix Mkosamali alimtaka Dk. Mgufuli kulifafanulia Bunge madeni ambayo...
10 years ago
Mwananchi28 May
Wabunge wamkaanga Magufuli
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Dk Magufuli kuteua wabunge punde
9 years ago
Habarileo21 Nov
Wabunge wasifu hotuba ya Magufuli
WABUNGE wamesifu hotuba ya ufunguzi wa Bunge la 11 iliyotolewa bungeni jana na Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Hotuba hiyo ni ufunguzi rasmi wa Bunge la 11, ambapo mkutano wa kwanza wa bunge hilo ulianza Jumanne wiki hii mjini hapa.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wabunge walilia ahadi za Dk Magufuli
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Wabunge waitwa kwa Dk Magufuli
10 years ago
Habarileo15 May
Wabunge Dar wajipanga kumkwamisha Magufuli
MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), amesema wabunge wa Dar es Salaam wanasubiri makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili waikwamishe, kutokana na kutotimiza ahadi ilizotoa kwa mkoa huo.
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Magufuli afanya kazi ya ziada kuwanadi wabunge
9 years ago
Bongo503 Dec
Uwaziri wa Magufuli wa moto, wabunge wengi waugwaya!
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Kuna sababu za kwanini hadi sasa Rais Dk John Magufuli hajatangaza baraza lake la mawaziri licha ya kuwepo ofisini kwa takriban mwezi sasa.
Taarifa zinadai kuwa uwaziri kwenye serikali yake ni mwendo ‘msobe msobe’ na si ule wa kula bata na safari kibao za nje kama ilivyokuwa awamu iliyopita, ndio maana wabunge wengi wanaugwaya.
Infact ndugu yako akiteuliwa na Magufuli kuwa waziri mpe pole badala ya kumpongeza kuwa ameula! Ule usemi Hapa Kazi tu si wa mdomoni na kuvutia kura tu, ndani ya...