Wabunge waitwa kwa Dk Magufuli
Wabunge wote wateule, wametakiwa kufika Ofisi Ndogo ya Bunge Dar es Salaam, ili kushiriki hafla ya kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s72-c/m1AA-768x512.jpg)
MKE WA RAIS MAMA JANETH MAGUFULI AKABIDHI VITI VYA MWENDO (WHEELCHAIRS) KWA WABUNGE KWA AJILI YA WATOTO WENYE ULEMAVU
![](https://1.bp.blogspot.com/-7733_i26TLk/XmD4pxs3RsI/AAAAAAALhOc/Q3lppQgtvGIX4FkuFN-qVkDaY6dAelH3wCLcBGAsYHQ/s640/m1AA-768x512.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11
![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s400/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lqYGzljIAv8/Xt5eUADfZ7I/AAAAAAALtGU/kg0_RJ2iyPYO90OI74umcF1mOJC0MmEbQCLcBGAsYHQ/s72-c/pic%252Bbunge.jpg)
WABUNGE WAPITISHA AZIMIO KUMPONGEZA DK.MAGUFULI, SPIKA JOB NDUGAI KWA KULIONGOZA VEMA BUNGE LA 11
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kauli moja wamepiga kura ya kupitisha Azimio la kumpongeza Rais Dk.John Magufuli kwa kufanikisha shughuli za Serikali kuhamia Dodoma ambapo wamekubaliana hakutakuwa na mtu mwingine yoyote anayeweza kuja kuiondoa Serikali na shughuli zake Dodoma.
Wakati Azimio la pili ambalo wabunge wamelipitisha linahusu kumpongezi kwa Spika wa Bunge Job Ndugai kutokana na mafanikio ambayo yamepatikana kwenye Bunge la...
10 years ago
Mwananchi28 May
Wabunge wamkaanga Magufuli
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Dk Magufuli kuteua wabunge punde
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Wabunge walilia ahadi za Dk Magufuli
9 years ago
Habarileo21 Nov
Wabunge wasifu hotuba ya Magufuli
WABUNGE wamesifu hotuba ya ufunguzi wa Bunge la 11 iliyotolewa bungeni jana na Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Hotuba hiyo ni ufunguzi rasmi wa Bunge la 11, ambapo mkutano wa kwanza wa bunge hilo ulianza Jumanne wiki hii mjini hapa.
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Magufuli awashika pabaya wabunge
*Azuia safari zao nje ya nchi, watakiwa wawe na vibali
*Baadhi yao wajikuta wakikwama Uwanja wa Ndege VIP
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SIKU chache baada ya Rais Dk. John Magufuli kupiga marufuku safari za nje kwa watumishi wa Serikali bila kibali, safari hii kibao kimewagekia wabunge baada ya kuzuiwa kusafiri bila ruhusa maalumu, MTANZANIA imebaini.
Hali hiyo imeonekana kuwavuruga wabunge, kwani baadhi yao wamejikuta wakikwama katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, baada...
10 years ago
Habarileo15 May
Wabunge Dar wajipanga kumkwamisha Magufuli
MBUNGE wa Temeke, Abbas Mtemvu (CCM), amesema wabunge wa Dar es Salaam wanasubiri makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Ujenzi ili waikwamishe, kutokana na kutotimiza ahadi ilizotoa kwa mkoa huo.