Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Nov
Wapinzani wamsulubu Mwakyembe bungeni
10 years ago
Mwananchi27 May
Wapinzani walia na Brela bungeni
11 years ago
Mwananchi29 Jun
CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni
10 years ago
Mwananchi21 Mar
Zitto: Tukutane ‘bungeni’ Novemba
10 years ago
Zitto Kabwe, MB06 Jul
Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni
Baadhi ya kazi za Zitto Bungeni
Kwa uzito na mahala unapofanyika mkutano huu, naomba niwaletee kwa muhtasari kabisa baadhi ya kazi ambazo Ndugu Zitto Kabwe amezifanya katika kusukuma mbele guruduma la maendeleo katika nchi yetu.
MABADILIKO SEKTA YA MADINIZitto alichaguliwa kwa mara ya kwanza kuwa mbunge mwaka 2005 akiwakilisha Jimbo la Kigoma Kaskazini ambalo halina mgodi hata mmoja wa madini ukiachana na wachimbaji wadogo wa udongo wa Pemba ambao una soko kubwa hapa Kariakoo jijini Dar es...
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Zitto awaanika Lembeli, Msigwa bungeni
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema), amemshangaa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli, pamoja na kamati yake kwa kushindwa kumchukulia hatua Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, licha ya kushindwa kutekeleza agizo la Mahakama.
Kauli hiyo aliitoa bungeni mjini Dodoma jana alipokuwa akichangia taarifa ya utekelezaji wa kazi za Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kwa mwaka 2014.
Katika taarifa hiyo...
10 years ago
Mwananchi23 May
Zitto apiga tambo kuelekea bungeni
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TsPjVk02wZE/VZpZzxzWhqI/AAAAAAAHnQE/Yxt5jpbf3XE/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Zitto aanza kuvuliwa nyadhifa za bungeni