Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wapinzani wamsulubu Mwakyembe bungeni

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, jana ilimsulubu Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ikieleza kuwa wizara yake iliingia mkataba wa mradi wa treni za kisasa kutoka Stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu kupitia Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) bila kufuata taratibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia na Brela bungeni

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imelia na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kuwa imekataa kutoa majina ya wamiliki wa Kampuni ya Simba Trust Ltd inayomiliki asilimia 50 ya hisa za Kampuni ya PAP iliyohusika katika sakata la ukwapuaji wa fedha zaidi ya Sh300 bilioni  kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

11 years ago

Mwananchi

CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni

Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mambo yanavyozidi kuwa magumu na kuwaweka njiapanda Watanzania juu ya uwezekano wa kupata Katiba Mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Dk. Mwakyembe; Mwanahabari ‘aliyeua’ Wanahabari bungeni

Dk Harrison Mwakyembe, mwandishi wa habari kitaaluma aliyeingia katika historia ya aina yake, kwa kushiriki kuunga mkono hoja ya kuzuia wanahabari wenzake kuingia na kuandika habari ndani ya Kamati za Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wamsulubu Kikwete

KIKAO cha Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichomalizika juzi mjini Dodoma, kinatarajia kusababisha mapinduzi makubwa ya utendaji wa serikali pamoja na mijadala ya vikao vya Bunge Maalumu...

 

11 years ago

GPL

WAMSULUBU MJUKUU, WATIWA MBARONI

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
KIBANO! Jeshi la Polisi Changombe, Dar linamshikilia mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Neema na babu Ramadhan kwa RB namba CHA/RB/4645/2014 UNYANYASAJI WA MTOTO wakidaiwa kumsulubu mjukuu wao (jina linahifadhiwa kimaadili). Mke na mume wanaodaiwa kumfanyia ukatili mtoto huyo Tukio la kuwatia nguvuni wahusika hao lilijiri Mei 29, mwaka huu maeneo ya Buza jijini Dar, baada ya ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Majambazi 'wamsulubu' mwalimu Kenya

Mwalimu wa kanisa katoliki Magharibi mwa Kenya alitekwa nyara majambazi na kupigiwa msumari kwenye mti msituni

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani