Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni

Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mambo yanavyozidi kuwa magumu na kuwaweka njiapanda Watanzania juu ya uwezekano wa kupata Katiba Mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wapinzani bungeni wamkaanga Zitto

Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni jana ilimlipua mbunge kutoka kambi yao, Zitto Kabwe ikimhusisha na ufisadi wa Sh119 milioni kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirika la Hifadhi za Taifa (Tanapa).

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani wamsulubu Mwakyembe bungeni

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, jana ilimsulubu Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ikieleza kuwa wizara yake iliingia mkataba wa mradi wa treni za kisasa kutoka Stesheni ya Dar es Salaam hadi Pugu kupitia Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere (JNIA) bila kufuata taratibu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia na Brela bungeni

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni imelia na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) kuwa imekataa kutoa majina ya wamiliki wa Kampuni ya Simba Trust Ltd inayomiliki asilimia 50 ya hisa za Kampuni ya PAP iliyohusika katika sakata la ukwapuaji wa fedha zaidi ya Sh300 bilioni  kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM: Ndoa ya wapinzani ‘feki’



 Yasema kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha Viongozi wa vyama vilivyoungana kila mmoja anatafuta ulaji Mangula awaonya viongozi wa wilaya kutowagawa wanachama
NA SELINA WILSON
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema  hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.

 Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta ulaji, kuing’oa CCM, ambayo...

 

10 years ago

Habarileo

CCM Rorya yapiga kumbo wapinzani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeng’ara katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita, baada ya kuzoa viti vingi katika vijiji na vitongoji. Katika uchaguzi huo, CCM kilishinda vijiji 54 , wenyeviti wa vitongoji 313 na wajumbe wa Serikali za vijiji na viti maalum 443 na wajumbe mchanganyiko viti 557.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yasikitishwa wapinzani kususa Bunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesikitishwa na tabia ya wapinzani kususa mchakato wa Katiba, unaoendelea kupitia Bunge Maalumu linaloendelea mjini Dodoma, wakati ndio wanaolalamika kwamba kero za Muungano hazijapatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia CCM kuwachezea rafu

Vyama vya CUF na Chadema vimekitupia lawama Chama cha Mapinduzi (CCM) vikidai kimecheza rafu katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika leo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM inatengeneza wapinzani wake yenyewe

Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema: “Hakuna vyama vya upinzani vyenye uwezo wa kuing’oa CCM madarakani, upinzani wa kweli utatoka CCM, wenyewe kwa wenyewe watatofautiana kisha wataanzisha chama chao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani