Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Magufuli akata, aunganisha wizara
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Magufuli aapishwa na kuwashauri wapinzani
9 years ago
GPLKAGASHEKI; MAGUFULI NI JEMBE; AWANASA WAPINZANI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VLf6J4PykmA/XunPEaNmcOI/AAAAAAALuL4/BnCny-4bfyITdCFNDMbcOv9n3zsdhWRcACLcBGAsYHQ/s72-c/d819a5cb-299f-4675-82c1-c84eb1da8c78.jpg)
DKT.MAGUFULI ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KWA TIKETI YA CCM...WANA CCM WAIMBA 'MAGUFULI BABA LAOO'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amechukua fomu ya kugombea nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) leo Juni 17,mwaka 2020 katika Makao ya Chama hicho Jijini Dodoma.
Dk.Magufuli anachukua fomu hiyo kwa ajili ya kuomba tena ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM ikiwa ni awamu ya pili baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya miaka mitano iliyoanzia mwaka 2015 mpaka mwaka 2020.Uchuguzi Mkuu mwaka huu unatarajia kufanyika...
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao
Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.
Kushushwa kwa Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s72-c/34.jpg)
KINANA : WAPINZANI WAMEKOSA SERA MBADALA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0nR4cRbrUk/VGpZk2u6xoI/AAAAAAAATXs/PR0ARLePh6w/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-v44SiS7BdbU/VGpZkoVNDWI/AAAAAAAATXk/GepDHw68u6k/s1600/30.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7F9IveqR-pY/VGpZky8bHCI/AAAAAAAATXo/G1XTKXftfsk/s1600/32.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Jun
CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-5-iHInLI3GM/VE8gdWif1nI/AAAAAAAABuk/rr4gr6hcMiI/s72-c/philip_mangula-1.jpg)
CCM: Ndoa ya wapinzani ‘feki’
Yasema kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha Viongozi wa vyama vilivyoungana kila mmoja anatafuta ulaji Mangula awaonya viongozi wa wilaya kutowagawa wanachama
NA SELINA WILSON
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-5-iHInLI3GM/VE8gdWif1nI/AAAAAAAABuk/rr4gr6hcMiI/s1600/philip_mangula-1.jpg)
Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta ulaji, kuing’oa CCM, ambayo...