Magufuli akata, aunganisha wizara
Baada ya wiki sita za kusubiri kwa shauku, hatimaye Rais John Magufuli ametangaza baraza dogo la mawaziri lenye wizara 18 likiongozwa na mawaziri 19 na manaibu wao 15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Dk. Magufuli: “ Ziara yangu ya kushtukiza Wizara ya Fedha, imenisaidia kujua changamoto zinazoikabili wizara hii”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiambatana na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alipotembelea ofisi za Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipata ufafanuzi kutoka kwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile wakati wa ziara hiyo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na uongozi wa Wizara ya Fedha.
Rais wa Jamhuri wa Muungano...
5 years ago
Michuzi
PITBULL AUNGANISHA ULIMWENGU KUPITIA MUZIKI

Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMSANII wa Muziki kutoka Marekani Armando Christian Perez maarufu kama Pitbull ametoa wimbo unaokwenda kwa jina la " I Believe That We Will Win" kwa maana ya 'Ninaamini Kwamba Tutashinda" ambao ni mahususi kwa ulimwengu mzima ambao kwa Sasa umekumbwa na janga la virusi vya Corona (Covid-19.)
Katika wimbo huo Pittbull ameeleza namna dunia itakavyoshinda dhidi ya virusi vya Corona ...
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Magufuli azuru Wizara ya Fedha
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
VIGOGO WIZARA YA UJENZI WAMKIMBIA MAGUFULI!
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Magufuli amteua Nape Wizara ya Michezo
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
RAIS wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, ametangaza Baraza la Mawaziri na kumteua Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo.
Awali kabla ya uteuzi wa jana wa Serikali ya Awamu ya Tano, wizara hiyo ilikuwa chini ya mbunge wa kuteuliwa Dk. Fenella Mukangara na Naibu Waziri wake Juma Nkamia ambaye ni Mbunge wa Chemba.
Akitangaza baraza hilo jana jijini Dar es Salaam, Rais...
5 years ago
CCM Blog
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wizara ya Afya yawasaka waliokaidi amri ya Magufuli