MOTO WA MAGUFULI ALIPOKUWA WIZARA YA ARDHI
![](http://img.youtube.com/vi/zSSgTLPRQKo/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PCdcQRGzMH4/XrmCoY6R0sI/AAAAAAALp0A/ZcpmEtyenGsxIo5PwJ6i6h8Q4Ahde4mwgCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
Migogoro ya ardhi kaa la Moto,Kufunguliwa ofisi za ardhi mikoani kuleta ahueni
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.
![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s72-c/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s640/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9OTejzAZrYk/VoKd2oURfAI/AAAAAAAIPOo/xUJwh-Y8YSI/s640/614bcd92-6870-4c04-90bd-03cc7891e0ae.jpg)
5 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog21 Jul
Magufuli azoa wanachama wapya alipokuwa akiwashukuru na kuwaaga wakazi wa Muganza wilayani Chato leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM,jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa Muganza,wilayani Chato Mkoani Geita, Mh Magufuli amezoa wanachama wapya waliorudisha kadi zao wapatao zaidi ya 150.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MDbAJFcfXQo/Va0PxW0goEI/AAAAAAAC814/_rpGkbaLch4/s640/_MG_8967.jpg)
Mgombea Urais kwa chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli akipokea kadi za Wanachama wa vyama mbalimbali vya upinzani na kujiunga na CCM, jioni hii katika viwanja vya mji mdogo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s72-c/_MG_8966.jpg)
MAGUFULI AZOA WANACHAMA WAPYA ALIPOKUWA AKIWASHUKURU NA KUWAAGA WAKAZI WA MJI MDOGO WA MUGANZA WILAYANI CHATO LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GgLU7dnzPto/Va0Pu3sHDUI/AAAAAAAC81w/kJ7avus_Nnw/s640/_MG_8966.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MDbAJFcfXQo/Va0PxW0goEI/AAAAAAAC814/_rpGkbaLch4/s640/_MG_8967.jpg)