Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Feb
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NA UJUMBE WAKE ZIARANI NCHINI SINGAPORE
![luk1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/02/luk1.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
UJUMBE KUTOKA KAMPUNI YA SURBANA — SINGAPORE WAMTEMBELEA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI OFISINI KWAKE LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-bn3WImY0mkw/VQb_acckbGI/AAAAAAAHKzc/pnY6gvVxpOo/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbKEUb69_fc/VQb_aLVXaxI/AAAAAAAHKzY/fhYDpeHbOUM/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
9 years ago
Dewji Blog22 Sep
Wizara ya Ardhi yawatangazia umma kuwasilisha malalamiko ya mgogoro ya Ardhi mkoa wa Dar
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi.
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI INAPENDA KUWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MHE. WAZIRI WA ARDHI ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI WENYE MIGOGORO INAYOHUSU ARDHI KATIKA MKOA WA DAR ES SALAAM TAREHE 22 – 23, SEPTEMBA, 2015 KUANZIA SAA 4.00 ASUBUHI MAKAO MAKUU YA WIZARA. KATIKA TUKIO HILO, MNATAKIWA KUZINGATIA YAFUATAYO;-
1.TAREHE 22 SEPTEMBA 2015 ATAPOKEA MALALAMIKO YA WANANCHI KWA MANISPAA YA KINONDONI;
2.TAREHE...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU, WIZARA YA ARDHI AFANYA JITIHADA KUBORESHA MABARAZA YA ARDHI NA NYUMBA YA WILAYA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s72-c/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.
![](http://4.bp.blogspot.com/-V6eb6zHvn3Q/VXcpDpSddjI/AAAAAAAHdcU/qlfmsP6FN7Q/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s72-c/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
Naibu Waziri, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Angelline Mabula astukizia baraza la ardhi kinondoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-F8TU-QFj4Sk/VoKd1klhp-I/AAAAAAAIPOk/WkiY2Zas_ro/s640/100e1f06-adfb-411b-867d-1534d83922b8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9OTejzAZrYk/VoKd2oURfAI/AAAAAAAIPOo/xUJwh-Y8YSI/s640/614bcd92-6870-4c04-90bd-03cc7891e0ae.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--9wuQipZB6Y/VT-H-klHQqI/AAAAAAAHTzg/8s1S1gHlcLE/s72-c/IMG_3790.jpg)
WIZARA YA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI YAIMALISHA MIPAKA YA NCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/--9wuQipZB6Y/VT-H-klHQqI/AAAAAAAHTzg/8s1S1gHlcLE/s1600/IMG_3790.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Vg2B5F7PK0M/VT-H-aH2UTI/AAAAAAAHTzc/TgTFtMJDpnQ/s1600/IMG_3825.jpg)
Mkurugenzi msaidizi, Upimaji vijijini, Bw. Huruma Lugalla akionyesha kwenye ramani mipaka mbalimbali ya ndani ya nchi na...
9 years ago
Dewji Blog26 Sep
Wakazi wa Dar waridhishwa na utendaji wa Waziri Lukuvi katika kutatua migogoro ya ardhi
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi na kufanikiwa kupokea Malalamiko yao Katika mkutano wa siku mbili wa tarehe 22 na 23, Septemba, 2015 katika Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi. Wananchi wengi waliofika katika mkutano huo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7BrfP04hkac/Xl69SpyqpPI/AAAAAAALgyM/X6uQnPtyr6oPO0gsvyRfqJDxcgaCjRbkQCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_9991-2048x1385.jpg)
DK,SHEIN AMEKUTANA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS, UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7BrfP04hkac/Xl69SpyqpPI/AAAAAAALgyM/X6uQnPtyr6oPO0gsvyRfqJDxcgaCjRbkQCLcBGAsYHQ/s640/DSC_9991-2048x1385.jpg)