KAGASHEKI; MAGUFULI NI JEMBE; AWANASA WAPINZANI
Khamis Sued Kagasheki. MIAKA zaidi ya 14 iliyopita, siasa za Jimbo la Bukoba Mjini mkoani Kagera, hazikufikiria kama kuna mtu aliyeitwa Khamis Sued Kagasheki. Hata alipojitokeza, alionekana mgeni kwa wakazi wengi wa Bukoba. Mwaka huu, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli alimnadi Kagasheki na kumtaja kuwa ni mtu anayefaa kuwa mbunge kuliko wagombea wote lakini naye akamnadi mwakilishi huyo wa urais wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Magufuli aapishwa na kuwashauri wapinzani
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
10 years ago
GPLDNA, KENRAZY, GRANDPA FAMILY WATIKISA JEMBE NI JEMBE JIJINI MWANZA
10 years ago
GPLSHOO YA JOH MAKINI NDANI YA JEMBE NI JEMBE, MWANZA YAACHA HISTORIA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GJ-8MLJZOhI/VCusZTQkGEI/AAAAAAAGm5M/5VA9F1xAjzw/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Mwanza, Nyama Choma Festival inakuja Rock City - Jembe Ni Jembe Oktoba 25, 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-GJ-8MLJZOhI/VCusZTQkGEI/AAAAAAAGm5M/5VA9F1xAjzw/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ci-L9sZRXas/VCusYWC5zlI/AAAAAAAGm48/vHBq498x9sk/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JkDnTqvhmbk/VCusYs_D5WI/AAAAAAAGm5E/1FjfxdspU6I/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rAc213RHzPE/VCusYhj72FI/AAAAAAAGm5A/GwbPEti-PuA/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CqRYuySSglw/U-W6KtEobrI/AAAAAAACnCE/CqNkDBmALHE/s72-c/11.jpg)
HAFLA YA MEET AND GREAT YAFANA NDANI YA UFUKWE WA CLUB YA JEMBE NI JEMBE JIJINI MWANZA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-CqRYuySSglw/U-W6KtEobrI/AAAAAAACnCE/CqNkDBmALHE/s1600/11.jpg)
9 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao
Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.
Kushushwa kwa Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...
11 years ago
CloudsFM07 Aug
USAILI WA SERENGETI FIESTA SUPER NYOTA DIVAZ DIVAZ UNAOFANYIKA PANDE ZA JEMBE NI JEMBE,MWANZA
Usaili wa Dance la Fiesta na Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz ukifanyika pande za Jembe ni Jembe,jijini Mwanza hapa majaji wakiwasaili washiriki waliofika eneo hilo.
Mmoja wa washiriki wa Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz akiimba kwenye usaili.