Magufuli aapishwa na kuwashauri wapinzani
John Magufuli ameapishwa kuwa rais mpya wa Tanzania na kuwaambia wapinzani kwamba yuko tayari kufanya kazi nao kwa ajili ya kuiendeleza nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo05 Nov
BREAKING NEWS: Magufuli aapishwa
MHESHIMIWA dkt John Pombe Joseph Magufuli ameapishwa kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Sherehe ya kuapishwa kwake imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania.
Aidha Rais Magufuli anashika wadhifa huo baada ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza kipindi chake cha miaka 10.
Fuatilia tovuti yetu kwa habari zaidi.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Rais John Magufuli aapishwa rasmi Tanzania
9 years ago
GPL
DK. MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
9 years ago
Michuzi
MAGUFULI AAPISHWA KUWA RAIS WA AWAMU YA TANO WA TANZANIA LEO JIJINI DAR


9 years ago
Mwananchi03 Dec
Wapinzani wapongeza utendaji wa Magufuli
9 years ago
CCM Blog
DK. MAGUFULI RASMI URAIS, AAPISHWA LEO JIJINI DAR ES ASALAAM, NI PAMOJA NA MAKAMU WAKE, MAMA SAMIA




10 years ago
GPLKAGASHEKI; MAGUFULI NI JEMBE; AWANASA WAPINZANI
10 years ago
Habarileo09 Sep
Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini
MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10