Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM: Ndoa ya wapinzani ‘feki’



 Yasema kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha Viongozi wa vyama vilivyoungana kila mmoja anatafuta ulaji Mangula awaonya viongozi wa wilaya kutowagawa wanachama
NA SELINA WILSON
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema  hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.

 Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta ulaji, kuing’oa CCM, ambayo...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HUSSEIN MACHOZI AFUNGA NDOA FEKI KENYA

Stori: Musa Mateja/Risasi Mchanganyiko
MIZINGUO! Mbongo Fleva aliyewahi kutamba na wimbo wa Jela, Hussein Machozi amefunguka kuwa tuhuma za kumtelekeza mke wake Shuena Yunus Omar, Mombasa Kenya hazimtesi kwa kuwa alioa kama geresha tu.
Machozi alifunguka hayo Januari 16, mwaka huu, alipobanwa na paparazi wetu azungumzie ukweli wa sakata la kudaiwa kumkimbia mkewe huyo lililotapakaa kama moto wa kifuu kwenye mitandao ya...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni

Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mambo yanavyozidi kuwa magumu na kuwaweka njiapanda Watanzania juu ya uwezekano wa kupata Katiba Mpya.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.

 

10 years ago

Habarileo

CCM Rorya yapiga kumbo wapinzani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeng’ara katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita, baada ya kuzoa viti vingi katika vijiji na vitongoji. Katika uchaguzi huo, CCM kilishinda vijiji 54 , wenyeviti wa vitongoji 313 na wajumbe wa Serikali za vijiji na viti maalum 443 na wajumbe mchanganyiko viti 557.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yasikitishwa wapinzani kususa Bunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesikitishwa na tabia ya wapinzani kususa mchakato wa Katiba, unaoendelea kupitia Bunge Maalumu linaloendelea mjini Dodoma, wakati ndio wanaolalamika kwamba kero za Muungano hazijapatiwa ufumbuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia CCM kuwachezea rafu

Vyama vya CUF na Chadema vimekitupia lawama Chama cha Mapinduzi (CCM) vikidai kimecheza rafu katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika leo.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM inatengeneza wapinzani wake yenyewe

Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliwahi kusema: “Hakuna vyama vya upinzani vyenye uwezo wa kuing’oa CCM madarakani, upinzani wa kweli utatoka CCM, wenyewe kwa wenyewe watatofautiana kisha wataanzisha chama chao.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM

>Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tafakuri juu ya JK Nyerere, Warioba, CCM na Wapinzani

NILIMALIZIA makala yangu iliyopita kwa kutoa mawazo yangu kuhusu misimamo ya Jaji Joseph Sinde Wa

Jenerali Ulimwengu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani