Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM

>Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Taifa Stars wakijipanga vizuri, wanaweza kuing’oa Zimbabwe

TIMU ya Soka ya Tanzania ‘Taifa Stars,’ Jumapili iliyopita ilianza vizuri kampeni ya kuwania nafasi ya kuwamo katika kundi F, kwa kampeni ya kucheza fainali za Afrika ‘AFCON 2015’ za...

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow kuing’oa CCM

 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema licha ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwadharau Watanzania na kuamini kwamba hawana madhara kwa ustawi wake, kashfa ya uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow itaking’oa chama hicho madarakani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM

Vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania vimetia saini makubaliano ya kupata nguvu ya pamoja, kuking’oa madarakani Chama tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amesema mchanganyiko wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika ngazi ya Serikali za Mitaa ni dalili tosha ya kuking’oa madarakani Chama cha Mapinduzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mansour apewa rungu kuing’oa CCM mwakani

Siku chache baada ya kujiunga na CUF, Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yussuf Himid (46), ameteuliwa kuwa mkuu wa mikakati wa kufanikisha kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Uchaguzi Mkuu mwakani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM

MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM ina kashfa ya escrow tu, asema Msekwa

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mwananchi

Msekwa: Msululu wa wagombea urais CCM usiwatishe wananchi

>Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Pius Msekwa amewataka wananchi kutoshtushwa na msululu wa makada wa chama hicho waliojitokeza kutangaza nia ya kugombea urais, akisema chama kitampata mgombea makini asiye na doa miongoni mwao.

 

5 years ago

The Citizen Daily

Former National Assembly Speaker Pius Msekwa plays down Membe expulsion from CCM

Former National Assembly Speaker Pius Msekwa plays down Membe expulsion from CCM  The Citizen Daily

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani