Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amesema mchanganyiko wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika ngazi ya Serikali za Mitaa ni dalili tosha ya kuking’oa madarakani Chama cha Mapinduzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM

MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto

Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]

The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow kuing’oa CCM

 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema licha ya Chama cha Mapinduzi (CCM), kuwadharau Watanzania na kuamini kwamba hawana madhara kwa ustawi wake, kashfa ya uchotaji fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow itaking’oa chama hicho madarakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015

Matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchi kote hivi karibuni yanaonyesha kuwa wananchi wamebadilisha mitazamo yao dhidi ya vyama vya siasa na hivyo kutoa picha mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM

Vyama vinne vya upinzani nchini Tanzania vimetia saini makubaliano ya kupata nguvu ya pamoja, kuking’oa madarakani Chama tawala.

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM

>Kiongozi Mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema endapo vyama vya upinzani vikiungana na kuweka mikakati makini ya muda mrefu, vinaweza kuking’oa CCM madarakani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mansour apewa rungu kuing’oa CCM mwakani

Siku chache baada ya kujiunga na CUF, Waziri wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Mansour Yussuf Himid (46), ameteuliwa kuwa mkuu wa mikakati wa kufanikisha kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi(CCM) kupitia Uchaguzi Mkuu mwakani.

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Habarileo

Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani