Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika amesema mchanganyiko wa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) katika ngazi ya Serikali za Mitaa ni dalili tosha ya kuking’oa madarakani Chama cha Mapinduzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
Makubaliano ya UKAWA lazima yawe zaidi kutaka kuing’oa CCM
MOJAWAPO ya mambo ambayo baadhi yetu hatukuyachangamkia sana ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao ulikuja kama mwamko (movement) ya kupinga kile ambacho wajumbe wake waliona ni utekaji wa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Sep
Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto
Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]
The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi07 Dec
Escrow kuing’oa CCM
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Upinzani TZ waungana kuing'oa CCM
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Msekwa: Wapinzani wakiungana wanaweza kuing’oa CCM
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Mansour apewa rungu kuing’oa CCM mwakani
10 years ago
Mwananchi09 Feb
10 years ago
Habarileo08 Oct
Lipumba- Ni vigumu kuiondoa CCM madarakani
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimekiri kwamba ni vigumu kuondoa Chama Cha Mapinduzi (CCM) maradakani bila kuwa na umoja na mshikamano baina ya wanachama na viongozi.