Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto
Mgombea mwenza wa urais wa chama Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Na Moshi Lusonzo 22nd September 2015 Adai sheria inasema chama kitakachoshinda ndicho kitaunda serikali, vinginevyo haiwezekani. Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi […]
The post Samia: Ukawa ni ndoto kuunda serikali ya mseto appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Feb
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Kutana na kijana mwenye ndoto ya kuunda chopa
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Ukawa watamba ‘mseto’ kuing’oa CCM madarakani
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Hoja ya serikali ya mseto Ukraine
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Rungwe: Nitaunda Serikali ya mseto
NA DEBORA SANJA, DODOMA
MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe amesema endapo akishinda nafasi hiyo, ataunda Serikali ya mseto itakayoshirikisha vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Rungwe alisema Katiba haikatazi kuundwa kwa Serikali ya aina hiyo.
“Nitachagua watu wenye akili kutoka vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi kwa ajili ya kuunda Serikali, nitapunguza pia ukubwa wa Serikali ili fedha hizo zifanye...
10 years ago
MichuziNETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL
Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...
10 years ago
Mwananchi13 Feb
MARIDHIANO: Serikali ya Mseto Zanzibar yazua mjadala
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Magufuli aanza kuunda serikali