Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARIDHIANO: Serikali ya Mseto Zanzibar yazua mjadala

>Mustakabali wa uhai wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), upo shakani kutokana na wananchi kutofautiana kuhusu umuhimu wa kuendelea na mfumo huo wa uongozi, huku baadhi wakitaka iitishwe Kura ya Maoni kuamua hatma ya serikali hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji yazua mjadala wa ubaguzi US

Utumizi wa neno uhalifu wa chuki ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sera ya uhamiaji yazua mjadala UK

Zaidi ya robo ya raia wa Uingereza wanataka kuona swala la uhamiaji likikomeshwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Ya Lulu Na Idriss Yazua Mjadala

Ikiwa ni takribani siku Nne sasa tangu mtanzania, Idris Sultan kuibuka mshind kwenye shindao la Big Brother Africa (BBA ) hotshots 2014, na kunyakua kiasi cha zaidi ya milioni 500. Kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi kumuunga mkono kuanzia kwenye kumuombea kura hadi kumpongeza aliposhinda, hali ilikuwa tofauti pale mwanadada  Elizabeth Michael aka Lulu ambe ni muigizaji maarufu wa filamu, alipompongeza  kwakuwepa picha  akiwa na mshiriki huyo na kumpongeza kwa kuandika  “He did...

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kutokana na uzito wa mjadala huo wa kura, mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho, alilazimika kusogeza mbele muda wa kumaliza kikao hicho hadi saa tatu usiku.

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa ya Nicki Minaj, Meek Mill yazua mjadala mitandaoni

Meek-Mill-Nicki-MinajNew York, Marekani

IKIWA zimepita siku chache baada ya rappa machachari kutoka Marekani Meek Mill amvalishe pete ya dhahabu mpenzi wake Nick Minaj kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni wapendanao hao  wameibua ‘headline’ kwenye Mtandao wa Kijamii wa Twitter baada ya Nick kuwauliza maswali mashabiki wake juu ya mahali pa kufanyia harusi hiyo akilenga ufukweni au kanisani.

Baada ya Nick, 33, kupost maswali hayo ndani ya muda mchache zaidi ya mashabiki wake 20,000 walitoa maoni...

 

11 years ago

BBCSwahili

Hoja ya serikali ya mseto Ukraine

Bunge limechelewa kuiunda serikali ya mseto kufuatia kung'atuliwa mamlakani rais Viktor Yanukovych, Limetangaza kuiunda Alhamisi.

 

9 years ago

Mtanzania

Rungwe: Nitaunda Serikali ya mseto

RungweNA DEBORA SANJA, DODOMA

 

MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe amesema endapo akishinda nafasi hiyo, ataunda Serikali  ya mseto itakayoshirikisha vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma jana, Rungwe alisema Katiba haikatazi kuundwa kwa Serikali ya aina hiyo.

“Nitachagua watu wenye akili kutoka vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi kwa ajili ya kuunda Serikali, nitapunguza pia ukubwa wa Serikali ili fedha hizo zifanye...

 

10 years ago

Michuzi

NETANYAHU AUNDA SERIKALI YA MSETO ISRAEL

Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyah.
Waziri Mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu,ameunda serikali mpya ya mseto kabla ya kumalizika muda uliopangwa kwa kiongozi huyo kuwasilisha serikali yake.Netanyahu alifanikiwa kukishawishi chama cha kiyahudi cha mrengo wa kulia cha Jewish Home Party baada ya Waziri wa Mambo ya Nje katika serikali inayoondoka madarakani, Avigdor Lieberman, kukataa chama chake cha Yisrael Baitenu, kuwa sehemu ya muungano wa Likud.
Makubaliano hayo ya serikali ya mseto...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani