Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji yazua mjadala wa ubaguzi US

Utumizi wa neno uhalifu wa chuki ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Sera ya uhamiaji yazua mjadala UK

Zaidi ya robo ya raia wa Uingereza wanataka kuona swala la uhamiaji likikomeshwa.

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Ya Lulu Na Idriss Yazua Mjadala

Ikiwa ni takribani siku Nne sasa tangu mtanzania, Idris Sultan kuibuka mshind kwenye shindao la Big Brother Africa (BBA ) hotshots 2014, na kunyakua kiasi cha zaidi ya milioni 500. Kama ilivyokuwa kwa watanzania wengi kumuunga mkono kuanzia kwenye kumuombea kura hadi kumpongeza aliposhinda, hali ilikuwa tofauti pale mwanadada  Elizabeth Michael aka Lulu ambe ni muigizaji maarufu wa filamu, alipompongeza  kwakuwepa picha  akiwa na mshiriki huyo na kumpongeza kwa kuandika  “He did...

 

10 years ago

Mwananchi

MARIDHIANO: Serikali ya Mseto Zanzibar yazua mjadala

>Mustakabali wa uhai wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), upo shakani kutokana na wananchi kutofautiana kuhusu umuhimu wa kuendelea na mfumo huo wa uongozi, huku baadhi wakitaka iitishwe Kura ya Maoni kuamua hatma ya serikali hiyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Ndoa ya Nicki Minaj, Meek Mill yazua mjadala mitandaoni

Meek-Mill-Nicki-MinajNew York, Marekani

IKIWA zimepita siku chache baada ya rappa machachari kutoka Marekani Meek Mill amvalishe pete ya dhahabu mpenzi wake Nick Minaj kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa hivi karibuni wapendanao hao  wameibua ‘headline’ kwenye Mtandao wa Kijamii wa Twitter baada ya Nick kuwauliza maswali mashabiki wake juu ya mahali pa kufanyia harusi hiyo akilenga ufukweni au kanisani.

Baada ya Nick, 33, kupost maswali hayo ndani ya muda mchache zaidi ya mashabiki wake 20,000 walitoa maoni...

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kutokana na uzito wa mjadala huo wa kura, mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho, alilazimika kusogeza mbele muda wa kumaliza kikao hicho hadi saa tatu usiku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wanafunzi waislamu yazua hisia

Maafisa wa polisi mjini Carolina kazkazini wamemkamata mtu mmoja baada ya wanafunzi watatu waislamu kupatikana wamefariki

 

11 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera

Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya

 

9 years ago

BBCSwahili

Mauaji ya mhubiri yazua joto Saudi Arabia

Marekani imeeleza wasiwasi wake kuhusu hali eneo la Mashariki ya Kati baada ya Saudi Arabia kumuua mhubiri mashuhuri wa Kishia Sheikh Nimr al-Nimr.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani