Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera
Polisi wametumia gesi ya kutoa machozi, kuwatawanya vijana wanaopinga mauaji ya wahubiri wawili wa kiisilamu mjini Mandera,Kaskazini mwa Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Oct
Kemikali Kisarawe yazua taharuki
SHEHENA ya kemikali ya salfa iliyoachwa Kijiji cha Kifuru, wilayani Kisararwe na Mamlaka ya Reli ya Tazara na Zambia (Tazara) baada ya treni yake ya mizigo kupata ajali, huenda ikawa tatizo kubwa kwa taifa kama itachelewa kuondolewa.
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Ebola yazua taharuki duniani
Shirika la afya duniani WHO limetangaza kuenea kwa ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika kama janga la dharura la kimataifa
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Mauaji yazua mjadala wa ubaguzi US
Utumizi wa neno uhalifu wa chuki ili kuelezea mauaji ya watu tisa katika kanisa moja la watu weusi mjini Carolina Kusini nchini Marekani umezua mjadala kuhusu ni nini haswa kinachosababisha mtu kutekeleza ugaidi.
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Mauaji ya wanafunzi waislamu yazua hisia
Maafisa wa polisi mjini Carolina kazkazini wamemkamata mtu mmoja baada ya wanafunzi watatu waislamu kupatikana wamefariki
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Mauaji ya mhubiri yazua joto Saudi Arabia
Marekani imeeleza wasiwasi wake kuhusu hali eneo la Mashariki ya Kati baada ya Saudi Arabia kumuua mhubiri mashuhuri wa Kishia Sheikh Nimr al-Nimr.
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Wahubiri wa TZ waliotekwa kuwachiliwa
Mtu anayeongoza mazungumzo ya kuachiliwa huru kwa wahubiri saba wa kiislamu kutoka Tanzania waliotekwa nyara wiki iliopita ameiambia BBC kwamba makubaliano ya kuwaachilia huru huenda yakaafikiwa hivi karibuni.
11 years ago
BBCSwahili05 Jun
'Wahubiri' wageuka washambuliaji Nigeria
Watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Boko Haram, wameshambulia wanakijiji na kuwaua watu 45 baada ya kuwahadaa kuwa wao ni wahubiri
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Serikali ya Zimbabwe yategemea wahubiri
Serikali ya Zimbabwe inaendelea kukabiliwa na matatizo katika kuafikia malengo yake ya kifedha, kwa hivyo imeanza kuwategemea wahubiri maarufu wanaojitambulisha kama manabii
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Viongozi wa dini nchini wahubiri amani
>Viongozi wa dini katika makanisa mbalimbali nchini, wametumia Sikukuu ya Krismasi kuhubiri amani, kulaani ubinafsi huku wakiitaka Serikali kuhakikisha inawang’oa viongozi mizigo ambao ndio chanzo cha umaskini nchini.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania