Ebola yazua taharuki duniani
Shirika la afya duniani WHO limetangaza kuenea kwa ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika kama janga la dharura la kimataifa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Oct
Kemikali Kisarawe yazua taharuki
SHEHENA ya kemikali ya salfa iliyoachwa Kijiji cha Kifuru, wilayani Kisararwe na Mamlaka ya Reli ya Tazara na Zambia (Tazara) baada ya treni yake ya mizigo kupata ajali, huenda ikawa tatizo kubwa kwa taifa kama itachelewa kuondolewa.
11 years ago
BBCSwahili02 Jun
Mauaji ya wahubiri yazua taharuki Mandera
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
Mgonjwa wa ebola azua taharuki
NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOpkhAbMDIFIUY1ZoTJ09NT3GfFzZ-usq04Cpchn7rFFKWbTX-NvuDOaaUQOx287ewJaNi83kwxNGV1yTSyrzVcW/ebola21.jpg?width=650)
TAHARUKI YA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA, KENYA
5 years ago
BBCSwahili05 May
Kanda ya Tyson akifanya mazoezi yazua mshawasha duniani
10 years ago
BBCSwahili15 Aug
Ebola yazua kasheshe DRC
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ebola yabainisha udhaifu mifumo ya afya duniani
MKUTANO mkubwa wa kimataifa kuhusu masuala ya afya umeelezwa kuwa ugonjwa wa ebola umethibitisha kuwa dunia haijajenga uwezo wa kutosha wa kukabiliana na magonjwa makubwa ya mlipuko.