Mgonjwa wa ebola azua taharuki
NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Oct
JK azua taharuki
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete, amezua taharuki baada ya kutaja idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuliko waliotajwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Akizungumza mjini Dodoma jana wakati wa kilele cha sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Kikwete alisema Watanzania wanaotarajia kupiga kura kwa upande wa Tanzania Bara ni milioni 28 na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVoKx7*TPxQUFubTmmUVSdVcZMSpoHU8Y02B94bTaoMRNi89L7OfxnU1zSxgTqqvaU2O6wwDaDTRP3ANXPxXQJA/nisha.jpg)
NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf1h9DXteW0/XlULAnyvsWI/AAAAAAALfQ0/Nch3cRticLQxCPuFTGbQxWUfIheqLhWwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200223_130243.jpg)
NG'OMBE MWENYE VICHWA VIWILI, MIDOMO MIWILI NA MACHO MATATU AZUA TAHARUKI
Na Woinde Shizza, Arusha
TAHARUKI kubwa imeibuka kwa wananchi wa Kijiji cha Ngiresi kilichopo kwenye Kata ya Sokoni 2 katika Halmashauri ya Arusha baada kuzaliwa ng'ombe mwenye vichwa viwili ,midomo miwili na macho matatu .
Kuzaliwa kwa ng'ombe huyo katika eneo hilo kumeibua maswali mengi yasiyo na majibu kwa wananchi hao huku wengi wao wakionekana kushangaa.
Akizungumzia tukio hilo, Mmiliki wa ng'ombe huyo Eliakimu Mungasi ameiambia Michuzi Globu ya jamii kwamba wakati anapewa taarifa ya...
11 years ago
BBCSwahili08 Aug
Ebola yazua taharuki duniani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOpkhAbMDIFIUY1ZoTJ09NT3GfFzZ-usq04Cpchn7rFFKWbTX-NvuDOaaUQOx287ewJaNi83kwxNGV1yTSyrzVcW/ebola21.jpg?width=650)
TAHARUKI YA EBOLA UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA, KENYA
10 years ago
Vijimambo09 Oct
MGONJWA WA EBOLA MAREKANI AFARIKI
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008162619_mgonjwa_us_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Thomas Eric Duncan aliyeambukizwa ugonjwa wa Ebola huko nchini Liberia ,alikuwa amewekwa katika karantini katika hospitali moja ya mjini Dallas ili kupewa dawa za majaribio.
Awali ,Marekani ilitangaza masharti mapya ya usalama katika viingilio vyote vya taifa hilo ili kuwakagua wasafiri walio na dalili za ugonjwa huo.
Zaidi ya watu 3000 wamefariki na wengine...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mgonjwa Ebola abainika Hispania
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Mgonjwa mwingine wa Ebola Ujerumani
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola