Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON

Stori: Richard Bukos
STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha', Jumanne iliyopita alijikuta akizua taharuki kufuatia kuegesha gari lake nje ya Hekalu la Freemason lililopo nyuma ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Taharuki hiyo ilikuja pale Nisha alipoegesha gari lake eneo hilo na kushuka kisha wanafunzi na watu wengine kusitisha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON

Mwandishi Wetu KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa. Soma zaidi hapa ====>bit.ly/1HyK2oY

 

9 years ago

Mtanzania

JK azua taharuki

Pg 4 oct 15NA MWANDISHI WETU, DODOMA

RAIS Jakaya Kikwete, amezua taharuki baada ya kutaja idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuliko waliotajwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Akizungumza mjini Dodoma jana wakati wa kilele cha sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Kikwete alisema Watanzania wanaotarajia kupiga kura kwa upande wa Tanzania Bara ni milioni 28 na...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mgonjwa wa ebola azua taharuki


NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi,  Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo  mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...

 

5 years ago

Michuzi

NG'OMBE MWENYE VICHWA VIWILI, MIDOMO MIWILI NA MACHO MATATU AZUA TAHARUKI


Na Woinde Shizza, Arusha
TAHARUKI kubwa imeibuka kwa wananchi wa Kijiji cha Ngiresi kilichopo kwenye Kata ya Sokoni 2 katika Halmashauri ya Arusha baada kuzaliwa ng'ombe mwenye vichwa viwili ,midomo miwili na macho matatu .
Kuzaliwa kwa ng'ombe huyo katika eneo hilo kumeibua maswali mengi yasiyo na majibu kwa wananchi hao huku wengi wao wakionekana kushangaa.
Akizungumzia tukio hilo, Mmiliki wa ng'ombe huyo Eliakimu Mungasi ameiambia Michuzi Globu ya jamii kwamba wakati anapewa taarifa ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliana ndani ya Hekalu India

Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya waumini wa Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana katika hekalu nchini India.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN

Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Ronaldo aonyesha hekalu lake Hispania

ronaldo6

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amewaonesha mashabiki mjengo wake wa kifahari kupitia video, wenye thamani ya pauni milioni 4.8.

ronaldo6

Hekalu hilo lipo La Finca sehemu ya Pozuelo de Alarcon – kitongoji cha wasomi kilomita 10 magharibi mwa wilaya ya Moncloa, Madrid pia iko karibu na nyumba za wachezaji mwenzake Gareth Bale na gwiji wa Ufaransa, Zinedine Zidane.

Akiwa na mpiga picha wa kampuni ya Unscripted Sport, Ronaldo ambaye analipwa pauni 288,000 kwa wiki baada ya kukatwa kodi...

 

9 years ago

Mtanzania

Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini

lwakatareNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa  la  Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.

Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.

Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.

Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani