NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON
![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVoKx7*TPxQUFubTmmUVSdVcZMSpoHU8Y02B94bTaoMRNi89L7OfxnU1zSxgTqqvaU2O6wwDaDTRP3ANXPxXQJA/nisha.jpg)
Stori: Richard Bukos STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha', Jumanne iliyopita alijikuta akizua taharuki kufuatia kuegesha gari lake nje ya Hekalu la Freemason lililopo nyuma ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Taharuki hiyo ilikuja pale Nisha alipoegesha gari lake eneo hilo na kushuka kisha wanafunzi na watu wengine kusitisha...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQ7qZAeEmlrhYtm8z91Y6QJRZkPMYLoglH3W3ynPsZ8jjBzNrOOq0be5symOe-o9He7m5WplOykHNEML51J9sT1/wolper.gif?width=650)
WOLPER AZUA KIZAAZAA FREEMASON
9 years ago
Mtanzania15 Oct
JK azua taharuki
NA MWANDISHI WETU, DODOMA
RAIS Jakaya Kikwete, amezua taharuki baada ya kutaja idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuliko waliotajwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Akizungumza mjini Dodoma jana wakati wa kilele cha sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Kikwete alisema Watanzania wanaotarajia kupiga kura kwa upande wa Tanzania Bara ni milioni 28 na...
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
Mgonjwa wa ebola azua taharuki
NA RODRICK MAKUNDI NA WILLIUM PAUL, MOSHI.
WANANCHI wa Kata ya Shirimatunda katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro, wamepatwa na taharuki kutokana na taarifa za kuwepo mgonjwa anayedhaniwa kuwa na ebola.
Mgonjwa huyo, ambaye amelazwa katika zahanati iliyoko kwenye kata hiyo, amesababisha huduma kusitishwa na zahanati kufungwa kwa muda huku wagonjwa waliokuwa wakipatiwa matibabu wakihamishiwa katika Ofisi ya Mtendaji wa Kata.
Habari zaidi zimeeleza kuwa mgonjwa huyo, aliwasili katika Uwanja wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bf1h9DXteW0/XlULAnyvsWI/AAAAAAALfQ0/Nch3cRticLQxCPuFTGbQxWUfIheqLhWwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200223_130243.jpg)
NG'OMBE MWENYE VICHWA VIWILI, MIDOMO MIWILI NA MACHO MATATU AZUA TAHARUKI
Na Woinde Shizza, Arusha
TAHARUKI kubwa imeibuka kwa wananchi wa Kijiji cha Ngiresi kilichopo kwenye Kata ya Sokoni 2 katika Halmashauri ya Arusha baada kuzaliwa ng'ombe mwenye vichwa viwili ,midomo miwili na macho matatu .
Kuzaliwa kwa ng'ombe huyo katika eneo hilo kumeibua maswali mengi yasiyo na majibu kwa wananchi hao huku wengi wao wakionekana kushangaa.
Akizungumzia tukio hilo, Mmiliki wa ng'ombe huyo Eliakimu Mungasi ameiambia Michuzi Globu ya jamii kwamba wakati anapewa taarifa ya...
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Washambuliana ndani ya Hekalu India
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN
10 years ago
Vijimambo21 May
Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Easter-21May2015.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.
Alisema hayo wakati...
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Ronaldo aonyesha hekalu lake Hispania
![ronaldo6](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ronaldo6-300x194.jpg)
Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amewaonesha mashabiki mjengo wake wa kifahari kupitia video, wenye thamani ya pauni milioni 4.8.
Hekalu hilo lipo La Finca sehemu ya Pozuelo de Alarcon – kitongoji cha wasomi kilomita 10 magharibi mwa wilaya ya Moncloa, Madrid pia iko karibu na nyumba za wachezaji mwenzake Gareth Bale na gwiji wa Ufaransa, Zinedine Zidane.
Akiwa na mpiga picha wa kampuni ya Unscripted Sport, Ronaldo ambaye analipwa pauni 288,000 kwa wiki baada ya kukatwa kodi...
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Mchungaji Lwakatare azuia hekalu lake kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MAHAKAMA Kuu Kitengo cha Ardhi imezuia nyumba anayoishi Mchungaji wa Kanisa la Assemblies of God Mikocheni, Dk. Getrude Lwakatare kubomolewa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitolewa juzi na Jaji John Mgeta, baada ya Wakili wa Lwakatare, Emmanuel Muga kuwasilisha maombi ya kupinga ubomoaji huo chini ya hati ya dharura.
Jaji Mgeta alizuia ubomoaji wa jengo hilo ama kuchukua hatua yoyote kuhusu jengo hilo lililopo Kawe Beach.
Muga aliwasilisha maombi akimwakilisha mdai...