Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN
Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo510 Sep
Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C
Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Iraq:Kaburi la Saddam limeharibiwa
Picha zinaonyesha mabaki ya kaburi hilo lililojengwa kwa njia ya kifahari lililo katika kijiji cha al-Awja .
10 years ago
BBCSwahili21 May
Palmyra yaitekwa na ISIS
Wapiganaji wa Islamic State wameuteka mji wa kale wa Palmyra nchini Syria kutoka majeshi yanayoiunga mkono serikali ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili15 May
Is yauharibu mji wa Palmyra,Syria
Wakuu wa mambo ya kale nchini Syria wameonya juu ya majanga yanayosababishwa na IS nchini humo.
10 years ago
BBCSwahili28 May
IS yadaiwa kuuwa watu 20 Palmyra
Wanaharakati nchini Syria, wanasema kuwa wanamgambo wa Islamic State, wametumia ukumbi wa zamani Palmyra, kutekeleza mauwaji ya wafungwa 20.
10 years ago
BBCSwahili21 May
Islamic State 'yadhibiti' Palmyra, Syria
Wanamgambo wa Islamic State wamechukuwa uthibiti wa karibu mji wote wa Palmyra, ulio na kivutuo kikubwa zaidi cha mahame ya kale.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Washambuliana ndani ya Hekalu India
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya waumini wa Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana katika hekalu nchini India.
11 years ago
GPL
NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON
Stori: Richard Bukos
STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha', Jumanne iliyopita alijikuta akizua taharuki kufuatia kuegesha gari lake nje ya Hekalu la Freemason lililopo nyuma ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Taharuki hiyo ilikuja pale Nisha alipoegesha gari lake eneo hilo na kushuka kisha wanafunzi na watu wengine kusitisha...
10 years ago
Vijimambo21 May
Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.
Alisema hayo wakati...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania