Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN

Umoja wa Mataifa umesema kuwa picha zilizonaswa na satelite zimethibitisha kuwa hekalu la Palmyra Kaskazini mwa Syria umeharibiwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nacheka lakini sina furaha ila najua kabisa mpango wao kwangu ni kuniua kabisa nipotee — Ray C

Sio mara ya kwanza kwa Rehema Chalamila a.k.a Ray C kulalamika kuhusu kunyimwa dawa ya Methadone ambayo amekuwa akiitumia ili kumsaidia kuondokana na addiction ya dawa za kulevya, lakini safari hii ametumia ukurasa wake wa Instagram kulalamika kuwa ameonewa tena japo hakuweka wazi alichofanyiwa. Ray C alianza kupost picha akiwa kwenye gari na kuadika; “NIKIWA […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Iraq:Kaburi la Saddam limeharibiwa

Picha zinaonyesha mabaki ya kaburi hilo lililojengwa kwa njia ya kifahari lililo katika kijiji cha al-Awja .

 

10 years ago

BBCSwahili

Palmyra yaitekwa na ISIS

Wapiganaji wa Islamic State wameuteka mji wa kale wa Palmyra nchini Syria kutoka majeshi yanayoiunga mkono serikali ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Is yauharibu mji wa Palmyra,Syria

Wakuu wa mambo ya kale nchini Syria wameonya juu ya majanga yanayosababishwa na IS nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yadaiwa kuuwa watu 20 Palmyra

Wanaharakati nchini Syria, wanasema kuwa wanamgambo wa Islamic State, wametumia ukumbi wa zamani Palmyra, kutekeleza mauwaji ya wafungwa 20.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State 'yadhibiti' Palmyra, Syria

Wanamgambo wa Islamic State wamechukuwa uthibiti wa karibu mji wote wa Palmyra, ulio na kivutuo kikubwa zaidi cha mahame ya kale.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliana ndani ya Hekalu India

Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya waumini wa Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana katika hekalu nchini India.

 

11 years ago

GPL

NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON

Stori: Richard Bukos
STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha', Jumanne iliyopita alijikuta akizua taharuki kufuatia kuegesha gari lake nje ya Hekalu la Freemason lililopo nyuma ya Hyatt Regency Dar es Salaam The Kilimanjaro Hotel jijini Dar es Salaam. Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu 'Nisha'. Taharuki hiyo ilikuja pale Nisha alipoegesha gari lake eneo hilo na kushuka kisha wanafunzi na watu wengine kusitisha...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.

Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM).
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.

Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.

Alisema hayo wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani