Washambuliana ndani ya Hekalu India
Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya waumini wa Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana katika hekalu nchini India.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Zitto, Kafulila washambuliana
*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina
*Daraja la Kikwete Lawatesa
NA MWANDISHI WETU
WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.
Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Paris: Wagombea wa Democratic washambuliana
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
India: Watu 2 ndani kubaka mtoto wa miaka 2
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Wanaotaka tiketi ya Republican washambuliana kwenye mdahalo
5 years ago
BBCSwahili20 Mar
India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi
9 years ago
BBCSwahili01 Sep
Hekalu la Palmyra limeharibiwa kabisa-UN
10 years ago
Vijimambo21 May
Mbunge ahoji hekalu la mwenzake kutobomolewa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Easter-21May2015.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum, Ester Bulaya (CCM) (pichani), ameishambulia Serikali hususani Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (Nemc) kuwa ndumila kuwili kwa kushindwa kubomoa hekalu lililojengwa eneo la Mbezi Beach, Dar es Salaam.
Bila kumtaja anayemiliki hekalu hilo, Esther alisema kuwa baadhi ya watu waliojenga majumba katika maneo yasiyoruhusiwa kisheria, wameketi upande wa kulia na kushoto kwake bungeni humo.
Alisema hayo wakati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BIHCTCFFxEVoKx7*TPxQUFubTmmUVSdVcZMSpoHU8Y02B94bTaoMRNi89L7OfxnU1zSxgTqqvaU2O6wwDaDTRP3ANXPxXQJA/nisha.jpg)
NISHA AZUA TAHARUKI HEKALU LA FREEMASON
9 years ago
Bongo523 Dec
Video: Ronaldo aonyesha hekalu lake Hispania
![ronaldo6](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ronaldo6-300x194.jpg)
Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amewaonesha mashabiki mjengo wake wa kifahari kupitia video, wenye thamani ya pauni milioni 4.8.
Hekalu hilo lipo La Finca sehemu ya Pozuelo de Alarcon – kitongoji cha wasomi kilomita 10 magharibi mwa wilaya ya Moncloa, Madrid pia iko karibu na nyumba za wachezaji mwenzake Gareth Bale na gwiji wa Ufaransa, Zinedine Zidane.
Akiwa na mpiga picha wa kampuni ya Unscripted Sport, Ronaldo ambaye analipwa pauni 288,000 kwa wiki baada ya kukatwa kodi...