Zitto, Kafulila washambuliana
*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina
*Daraja la Kikwete Lawatesa
NA MWANDISHI WETU
WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.
Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Sep
Kafulila ’apigwa dafrao’ jina la Zitto
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe juzi jioni alijikuta akishangiliwa katika mkutano uliokuwa ukihutubiwa na mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Edward Lowassa licha ya baadhi ya wazungumzaji katika mkutano huo kutoa maneno ya kumponda Zitto.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
KATIBU MKUU NISHATI NA MADINI AWASHAMBULIA ZITTO, KAFULILA
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Paris: Wagombea wa Democratic washambuliana
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Washambuliana ndani ya Hekalu India
9 years ago
BBCSwahili29 Oct
Wanaotaka tiketi ya Republican washambuliana kwenye mdahalo
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Habarileo14 Jul
Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Kafulila asisimua Bunge
10 years ago
TheCitizen07 Feb
Kafulila’s motion turned down