Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s72-c/kafulila.jpg)
BREAKING NEWS!!! - KAFULILA KUPANDISHWA KIZIMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-h6p8VnU0RP0/U8KQQwUO9oI/AAAAAAAABWc/z8OOKwhaWbA/s1600/kafulila.jpg)
SAKATA la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), kutuhumiwa kuchota fedha katika akaunti ya Escrow, limechukua sura mpya baada ya kampuni hiyo kuamua kumburuta mahakamani Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) na kumfungulia kesi ya madai ya sh. bilioni 310.
IPTL kwa kushirikiana na Kampuni ya Pan African Power Solutions (T) Limited na Mtendaji Mkuu wa kampuni hizo, Harbinder Sign Seth, wamemburuta Kafulila katika Mahakama Kuu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s72-c/6621067.png)
NEWS ALERT: KAFULILA APANDISHWA KIZIMBANI KWA KUMTUKANA MKUU WA WILAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-k9tNhOuNGs0/VTdLuarrReI/AAAAAAAHSc4/0OcVIZhiN4Y/s1600/6621067.png)
MBUNGE wa Jimbo la Kigoma Kusini Mhe. David Kafulila amepandishwa kizimbani katika mahakama ya Wilaya ya Kigoma kujibu shitaka la kutumia lugha ya matumisi dhidi ya Mkuu wa Wilaya Uvinza Khadija Nyembo.
Kafulila alifikishwa mahakamani hapo majira ya saa mbili asubuhi akiwa chini ya ulinzi mkali wa polisi.
Mbele ya Hakimu David Ngunyale,Wakili wa Serekali Marysinta Lazaro alidai kuwa Kafulila alitenda kosa hilo tarehe 1 mwezi wa 8 mwaka 2013 katika kata...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
9 years ago
Habarileo29 Oct
Kafulila aanguka ubunge
BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Zitto, Kafulila washambuliana
*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina
*Daraja la Kikwete Lawatesa
NA MWANDISHI WETU
WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.
Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...
9 years ago
Suit Over Escrow Remarks05 Oct
Kafulila faces 100m/
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and two other plaintiffs have filed a suit against the Member of Parliament (MP) for Kigoma South constituency under NCCR Mageuzi, Mr David Kafulila, demanding 100m/- compensation for allegedly issuing ...
10 years ago
TheCitizen07 Feb
Kafulila’s motion turned down
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Kafulila asisimua Bunge
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s72-c/Kafulila.jpg)
Kafulila amchefua Werema
Anusurika kuchapwa makonde bungeni Sitta, Wasira waingilia kati kumwokoa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), jana alichafua hali ya hewa bungeni na kunusurika kuchapwa makonde kwa kumtolea kauli za kuudhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s1600/Kafulila.jpg)
Pia Kafulila ametakiwa kukabidhi ushahidi alio nao kuhusiana na malipo yaliyofanywa kwa Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),...