Kafulila asisimua Bunge
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, David Kafulila jana aligeuka shujaa bungeni na kubebwa juujuu na wajumbe wenzake kutoka kundi la walio wachache baada ya ‘kusambaratisha’ hoja za wajumbe wanaopinga Serikali tatu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jan
Kafulila: watimueni kabla ya Bunge
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-79zx7rr90Ys/U0axuIfsCeI/AAAAAAAFZuQ/rFOqvawLLDw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMTJVVdQhVw/U0axuTqh_uI/AAAAAAAFZuI/tZoWTUA7V_4/s1600/unnamed+(14).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Kificho asisimua makundi ya urais CCM
MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)
11 years ago
Habarileo14 Jul
Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
11 years ago
Habarileo28 Jun
Makinda- Kafulila mchokozi
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amesema Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ndiye aliyemchokoza kwa makusudi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema naye akajikuta akipandwa na hasira na kumuita Mbunge huyo tumbili.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s72-c/Kafulila.jpg)
Kafulila amchefua Werema
Anusurika kuchapwa makonde bungeni Sitta, Wasira waingilia kati kumwokoa
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), jana alichafua hali ya hewa bungeni na kunusurika kuchapwa makonde kwa kumtolea kauli za kuudhi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9TKtzFGK_8Q/U6rwhJUxnEI/AAAAAAAABQk/sVf5aBlbJaI/s1600/Kafulila.jpg)
Pia Kafulila ametakiwa kukabidhi ushahidi alio nao kuhusiana na malipo yaliyofanywa kwa Kampuni ya IPTL kupitia akaunti ya Escrow kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU),...
9 years ago
Mtanzania28 Sep
Zitto, Kafulila washambuliana
*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina
*Daraja la Kikwete Lawatesa
NA MWANDISHI WETU
WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.
Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.
Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...
10 years ago
TheCitizen07 Feb
Kafulila’s motion turned down