Kafulila: watimueni kabla ya Bunge
>Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila amesema kuna kila sababu wahusika wote wa sakata la uchotwaji Sh306 bilioni kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow, wawe wamefukuzwa kazi kabla ya kuanza kwa mkutano ujao wa 18 wa Bunge.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Apr
Kafulila asisimua Bunge
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s72-c/unnamed+(16).jpg)
Mwakilishi wa walio wachache bunge maalum la katiba Mhe.David Kafulila ashangiliwa
![](http://1.bp.blogspot.com/-g2I0PufesZM/U0axrcwEmTI/AAAAAAAFZt8/wwfVFXp7Fhc/s1600/unnamed+(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-79zx7rr90Ys/U0axuIfsCeI/AAAAAAAFZuQ/rFOqvawLLDw/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-eMTJVVdQhVw/U0axuTqh_uI/AAAAAAAFZuI/tZoWTUA7V_4/s1600/unnamed+(14).jpg)
10 years ago
Vijimambo21 May
JK: Nitasaini miswada ya habari kabla ya Bunge la 20.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JKM-21May2015.jpg)
Rais Jakaya Kikwete, amesema atahakikisha anasaini miswada miwili ya habari kabla ya kumalizika kwa mkutano wa 20 wa Bunge la Bajeti unaendelea.
Miswada hiyo ni wa sheria ya kupata habari na wa sheria ya vyombo vya habari huku.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo wakati akifungua mkutano wa kimataifa kuhusu uwajibikaji na uwazi katika serikali, jana jijini Dar es Salaam.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo mbele ya washiriki wa mkutano huo takribani 200 kutoka nchi 65 ambazo ni...
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mFjskapruBA/VAnM1M8dsZI/AAAAAAAGfBo/KlS2VzKbgqg/s72-c/unnamed%2B(94).jpg)
Vikavo vya Bunge la Afrika Mashariki vyaahirishwa kabla ya jijini dar
Sheria Inataka Ili Kikao Kiendelee Lazima Bungeni Kuwe Na Nusu Ya Wabunge Wa Kuchaguliwa Na Angalau Wabunge Watatu Kutoka Kila Nchi Mwananchama.
Kikao Kiliahirishwa Baada Ya Rwanda Kuwa Na Mbunge Mmoja Na Burundi Wawili. Hii Ilikua Mara Ya Pili Baada Bunge Hilo Kuahirishwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/leU9J-pZysQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s72-c/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
ZIMEBAKI SIKU 4 TU KABLA YA TICKET ZA DIAMOND UHURU PARTY SHOW HAZIJAPANDA,CHUKUA TICKET ZAKO KABLA YA NOV 10 KWA $75 TU.....BAADAYA NOV 10 ZITAKUWA $100
![](http://2.bp.blogspot.com/-4zkn5JqwatE/VFctPasohgI/AAAAAAAARYo/l90KFPEj_5A/s1600/INDEPENDENCE%2BNEW%2B1.jpg)
LIVE SHOW *DIAMOND PLATNUMZ
LIVE SHOW TANZANIA ALL STARS
RED CARPET WITH CELEBRITY HOST
PROFESSIONAL PHOTOGRAPHER
CASH BAR
...
11 years ago
Habarileo14 Jul
Kafulila kizimbani
KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s72-c/download+(1).jpg)
IPTL VS KAFULILA
![](http://2.bp.blogspot.com/-P_nbHOx71RE/U8uveA2rnlI/AAAAAAAF4BQ/KCAAOIqHFw0/s1600/download+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a0paUbdf0yk/U8uveFNKgKI/AAAAAAAF4BU/-q7UbMw2l8Y/s1600/download+(2).jpg)