Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda- Kafulila mchokozi

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amesema Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila ndiye aliyemchokoza kwa makusudi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema naye akajikuta akipandwa na hasira na kumuita Mbunge huyo tumbili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kafulila kizimbani

KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), imemfungulia kesi Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi) katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ikimtaka aombe radhi na kulipa fidia ya Sh bilioni 310.

 

11 years ago

Michuzi

IPTL VS KAFULILA

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi)Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Ltd (IPTL) na Pan Africa Power Solutions (T) Ltd, Joseph Mwakandege akizungumza na waandishi wa habari kuhusu sakata la ununuzi wa IPTL. Kushoto ni Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya IPTL na PAP, Harbinder Singh Sethi.  Habari na Mwene Said wa Blogu ya Jamii.  KAMPUNI ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL), imewasilisha maombi Mahakama Kuu...

 

9 years ago

Habarileo

Kafulila aanguka ubunge

BAADA ya mvutano, hatimaye matokeo ya jimbo la uchaguzi la Kigoma Kusini, wilayani Uvinza mkoa wa Kigoma yametangazwa ambapo mbunge aliyekuwa anatetea jimbo hilo, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), ameanguka.

 

9 years ago

Mtanzania

Zitto, Kafulila washambuliana

mtz1*Watuhumiana kwa wivu wa kisiasa, ushirikina

*Daraja la Kikwete Lawatesa

 

NA MWANDISHI WETU

WANASIASA wawili maarufu hapa nchini ambao wamekuwa na uhusiano wa kikazi na binafsi, wamefarakana.

Wanasiasa hao, Zitto Kabwe aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini na David Kafulila aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini, kila mmoja anamshutumu mwenzake kwa kuwa na jicho la wivu wa kisiasa na kufikia kushambuliana kwa maneno makali kwenye mitandao ya kijamii.

Vita hiyo ya maneno kwenye mitandao ya kijamii...

 

10 years ago

Habarileo

Makinda kutogombea ubunge

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema amekuwa mbunge kwa miaka 40, hivyo ameamua kuwaachia wengine na kuwaonya wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao kutolia au kulalamika jukwaani kwani ni udhaifu mkubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kafulila asisimua Bunge

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, David Kafulila jana aligeuka shujaa bungeni na kubebwa juujuu na wajumbe wenzake kutoka kundi la walio wachache baada ya ‘kusambaratisha’ hoja za wajumbe wanaopinga Serikali tatu.

 

9 years ago

Mtanzania

Makinda aukimbia uspika

1126*Aingia mitini dakika za mwisho licha ya kampeni

*Mpambano mkali kwa Sitta, Nchimbi, Ndugai

 

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

VITA ya kuwania uspika wa Bunge, imepamba moto huku Spika anayemaliza muda wake Anne Makinda, akishindwa kuchukua fomu kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo, tofauti na ilivyotarajiwa.

Habari zilizolifikia MTANZANIA jana jioni zinaeleza kuwa, Makinda ameshindwa kuchukua fomu kutokana na ushauri aliopata kutoka kwa watu wake wa karibu wakiwamo makada wenye heshima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila aivimbia IPTL

SIKU moja baada ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kueleza kuwa imemfungulia kesi ya madai ya sh bilioni 310 Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila...

 

10 years ago

TheCitizen

Kafulila’s motion turned down

>Kigoma South MP David Kafulila (NCCR-Mageuzi) has continued to press the government to bring in Parliament a report compiled by the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) on the Tegeta escrow account scandal.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani