Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makinda kutogombea ubunge

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amesema amekuwa mbunge kwa miaka 40, hivyo ameamua kuwaachia wengine na kuwaonya wanawake wanaogombea nafasi mbalimbali kwenye uchaguzi mkuu ujao kutolia au kulalamika jukwaani kwani ni udhaifu mkubwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Anna Makinda aeleza dhamira ya kutogombea uspika

 

Spika wa Bunge la Tanzania Anna Makinda ameelezea dhamira yake ya kutogombea kwa mara nyingine nafasi hiyo ya uspika na kusema kipindi cha miaka 40 ndani ya Bunge kimetosha, na sasa atasalia kuwa mshauri kwa spika wa bunge lijalo.

Spika Makinda amehudumu kama spika kwenye bunge hilo kwa kipindi cha miaka mitano, na sasa anaamua kustaafu uongozi ndani ya siasa.

  Spika Makinda anaondoka huku akiacha historia ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa spika wa bunge la Tanzania, ambaye pia anajivunia...

 

10 years ago

Mtanzania

Machali kutogombea ubunge Kasulu Mjini

OLYMPUS DIGITAL CAMERANa Mwandishi Wetu, Kigoma
MBUNGE wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), ametangaza rasmi kwamba hatagombea tena ubunge wa jimbo hilo wakati wa uchaguzi mkuu mwaka huu.
Amesema ingawa alikuwa na nia ya kuendelea kuongoza jimbo hilo, amelazimika kuacha kwa kuwa baadhi ya viongozi wa chama chake wilayani Kasulu wanachafua jina lake bila sababu.
Machali alitangaza msimamo huo juzi mjini Kasulu alipohutubia mkutano wa hadhara.
“Kuna baadhi ya viongozi wachache wenye mawazo ya kijinga...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mfanyabiashara Davis Mosha atangaza kutogombea Ubunge jimbo la Moshi mjini

Aliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,mfanyabiashara Davis Mosha akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Penfold kwa lengo la kuwashukuru wana CCM waliompigia kura. Baadhi ya wana CCM waliohudhuria mkutano huo. Mfanyabiashara Davis Mosha akitangaza uamuzi wake wa kutojihusisha tena na siasa,uamuzi uliosababisha wanaccm kushindwa kujizuia na kuanza kuangua vilio. Baadhi ya wana CCM wakilia kwa uchungu mara baada ya Davis Mosha kutangaza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa DA kutogombea uchaguzi ujao

Kiongozi cha chama cha upinzani nchini Afrika Kusini Helen Zille amesema hatagombea kwenye uchaguzi ujao wa chama hicho

 

11 years ago

Mwananchi

Manji kutogombea uenyekiti Yanga

Wakati Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Yusuf Manji akitangaza kutokugombea tena nafasi hiyo, Katibu Mkuu wa Yanga, Laurance Mwalusako amefungashiwa virago ndani ya klabu hiyo na nafasi yake sasa kuchukuliwa na Benno Njovu.

 

10 years ago

Habarileo

‘Hatuwezi kulazimisha Nkurunziza kutogombea’

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.SERIKALI imesema haitamlazimisha Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuacha kugombea urais wa nchi hiyo kwa muhula wa tatu kama ambavyo wananchi wa Burundi wanavyoandamana kupinga jambo hilo.

 

10 years ago

StarTV

Mbunge wa Nyang’hwale atangaza kutogombea.

Na Wilson Elisha,

Nyang’hwale.

 

Kutovunjwa kwa makambi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika chaguzi mbalimbali nchini ni moja ya sababu zinazochangia kurudisha nyuma maendeleo yanayokusudiwa kufanyika.

 

Hali hii imemlazimu Mbunge wa Jimbo la Nyang’hwale mkoani Geita Mheshimiwa Hussein Kasu kutangaza rasmi kutogombea nafsi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao na kutaka juhudi za makusudi zifanyike kuondaa makambi vinginevyo yataendelea kukitafuna chama hicho.

 

Kauli ya mbunge wa Jimbo la...

 

10 years ago

GPL

MH. PINDA AUNDIWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA URAIS

Mhe. Mizengo Pinda Na mwandishi wetu mzee wa kimyakimya, a.k.a Mtoto wa Mkulima, Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameundiwa zengwe la kutogombea urais licha ya kudaiwa kuanza mbio za kusaka tiketi ya kukiwakilisha Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Vyanzo vya habari vimedai kuwa waziri mkuu huyo amewaambia marafiki zake wa karibu kuwa hatagombea tena nafasi hiyo tamu ya uongozi  kwa kile kilichotajwa kuwa ni...

 

10 years ago

GPL

IDD AZZAN ASHTUSHWA KUPIGWA ZENGWE LA KUTOGOMBEA

Mbunge wa Kinondoni, Idd Mohamed Azzan. Stori: OSCAR NDAUKA
KUMEKUCHA sasa! Mbunge wa Kinondoni kwa ‘leseni’ ya chama tawala (CCM), Idd Mohamed Azzan ameibuka na kusema kuwa ameshangazwa na habari zilizotangazwa na kituo kimoja cha runinga nchini kwamba amesema mwaka huu hataweka mguu wake kugombea ubunge wa jimbo hilo. Akizungumza na Uwazi ‘Mizengwe ya Uchaguzi’ jijini Dar hivi karibuni, mheshimiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani